JB Afunguka Kula Chakula Chenye Sumu Yeye na Steve Nyerere
Wasanii wa filamu za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ na Steve Nyerere wikiendi iliyopita inasemekana walikula chakula chenye sumu,ambapo mpaka sasa Steve Nyerere bado amelazwa hospitali.
B amezungumza na 255 kupitia XXL na kusema hivi:
‘’Siku ya Ijumaa tulikula kitimoto na vyakula tofauti tofauti sasa asubuhi yake ndio tumbo likaanza kuniuma niliendesha sana nikaenda hospitali nikapewa dawa nilivyokunywa hazikunisaidia usiku wake tumbo likaniuma sijawahi kuumwa tumbo kama nilivyoumwa siku ile...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Mr Nice azungumzia tukio la kula chakula chenye sumu
![11821809_1675578409323823_1553764896_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11821809_1675578409323823_1553764896_n-300x194.jpg)
Mr Nice amesema hakupenda kulichukulia tukio la kula chakula chenye sumu kama kiki ya muziki kutokana na tukio hilo kutaka kumtoa maisha yake.
Akizungumza na Nje ya Box ya Planet Bongo, EA Radio jana, Mr Nice alisema mpaka anapona hakujua ni nani aliyefanya tukio hilo na ni kwa nia gani.
“Yeah sikutaka kuongea na vyombo za habari kwa sababu ni kitu ambacho kilikuwa moja kwa moja kinaathiri maisha yangu,” alisema.
“Nikaona huu ni wakati wa kukaa na kutatua matatizo yangu kwa kuangalia ni...
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Steve Nyerere Alishwa Sumu
STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kula chakula chenye sumu na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali ya Hurbert Kairuki Memorial iliyopo Mikocheni jijini Dar, Amani linakupa ripoti kamili.
Kwa mujibu wa chanzo, Steve alifika hotelini (jina linahifadhiwa) kupata chakula cha jioni na marafiki zake ambapo baada ya kula kidogo akaanza kulalamika tumbo linamuuma.
“Baada ya kula chakula alianza kushika tumbo na kulalamika kwamba...
11 years ago
Bongo Movies16 Jul
Steve Nyerere alia na watu wanaomzushia kuwa yeye ni shoga.
Mwenyekiti wa bongo movie Unity, Steve Nyerere amechukizwa na watu wanaotumia mitandao vibaya na kwa kumzushia kuwa ni shoga.
Steve Nyerere kupitia akaunti yake ya facebook ameandika:
Napenda kuchukua fursa hii kuongea machache na kama mtaboa mtu naomba samahani najua binadamu tumezaliwa tofauti sana kuna wale wanaogopa zambi na kunawale wanopenda zambi mimi daima nasema izo ni changamoto tuuu ok nimepata taarifa umu umu kwenye mitandao yetu ya kijamiii hususani huuu kwamba kuna binti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgklooFGfYAU39Yw5nnnIg*NXCeR90EwfYm0pcC1SmTW4IqvaXafUN*FDLsElaKm1TZ80UvieRxYcXzaYvLBEAPrfj8/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE ADAIWA ‘KULA’ KWA MEMBE, WASIRA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s72-c/IMG_0851.jpg)
STEVE NYERERE AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WASANII WA FILAMU NA WADAU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s1600/IMG_0851.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gWeqpZitCEw/U77zsvsLWaI/AAAAAAAA9Ls/BQPPi7XcyX8/s1600/IMG_0826.jpg)
Wageni waalikwa wakisikiliza kwa makini maneno yaliyokuwa yakitolewa na Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vv9MDc9jPFA/U77zk7i7lnI/AAAAAAAA9LU/EhWMKVq2fNg/s1600/IMG_0817.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6kGn-PySNhY/U77zFM2zL6I/AAAAAAAA9LI/uvRhM0t3ZUY/s1600/IMG_0810.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbIP0ZEp5s39I0DBJx3juXykGguAgBAtn6bvnx0bspb7muDggfrjj0BVeHkmfQMgJIZpIFhObilfaUjtGc6jRAg/soya.jpg?width=650)
SOYA: CHAKULA CHENYE KINGA NA TIBA
11 years ago
Habarileo03 May
Mafuta ya kula yaliyo juani sumu
WANANCHI wametakiwa kuacha kununua mafuta ya kula, yanayouzwa yakiwa yamewekwa juani, kutokana na kuwa na athari kubwa kiafya, ikiwemo kusababisha ugonjwa wa saratani. Mkaguzi wa Chakula kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati, Albert Deule alisema hayo juzi wakati akijibu maswali ya washiriki wa mafunzo kwa wajasiriamali wa Mamlaka ya Mji mdogo wa Kibaigwa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma.
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Watu 300 wahofiwa kula sumu Bulyanhulu