UPDATES: TAARIFA YA NYONGEZA/UFAFANUZI YA TUKIO LA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AKIWA HOSPITALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s72-c/unnamedg.jpg)
Leo tarehe 30/03/2015 waandishi wa habari walifika kituo Kikuu cha Polisi wakitaka kujua uhalali wa silaha iliyokamatwa tarehe 29/03/2015. Silaha hiyo ni Bastola aina ya BERRETA yenye namba CAT5802 ikiwa na risasi tatu. Pia zilikamatwa risasi 17 za Short Gun.
Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:
Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat Gwajima. Kuhusu risasi 17 za Short Gun ni kwamba Askofu Gwajima anamiliki Bunduki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi30 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1jD8zVFc2cQ/VRhHzRY8gkI/AAAAAAAAILI/AVAHsit0y5Q/s72-c/unnamed.jpg)
WATU 15 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU GWAJIMA AKIWA HOSPITALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jD8zVFc2cQ/VRhHzRY8gkI/AAAAAAAAILI/AVAHsit0y5Q/s640/unnamed.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu
Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona mgonjwa huyo. Askari ambao wapo katika lindo hilo waliwatilia mashaka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s72-c/unnamed.jpg)
ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KWA MKUU WA UPELELEZI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s1600/unnamed.jpg)
Askofu Gwajima alifika kituo kikuu cha Polisi saa nane na dakika kumi na tano mchana wa tarehe 27/03/2015. Mara baada ya kufika kituoni hapo alielekezwa kwenda kumuona Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Constantine Masawe ambaye alikuwa akisubiri kufika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DS2MVavE1Y0/VRq3EMRvWGI/AAAAAAAAPg8/CJn969KZlmg/s72-c/1.jpg)
UPDATES: ASKOFU GWAJIMA APEWA DHAMANA LEO MCHANA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-DS2MVavE1Y0/VRq3EMRvWGI/AAAAAAAAPg8/CJn969KZlmg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FUj0h7bG1nU/VRq3D6s2JSI/AAAAAAAAPg4/tUORsVwSgPg/s1600/2.jpg)
BOFYA HAPA KWA...
10 years ago
Habarileo30 Mar
15 mbaroni jaribio la kumtorosha Gwajima
JESHI la Polisi linawashikilia na kuwahoji watu 15 kwa tuhuma za kutaka kumtorosha kutoka Hospitali ya TMJ Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo jijini, Dar es Salaam, Joseph Gwajima aliyelazwa hapo tangu usiku wa kuamkia juzi.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/p6_WYvVcRDM/default.jpg)
10 years ago
GPLKANISA LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA KAWE LATAKIWA KUVUNJWA
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Sakata la Gwajima: Wafuasi wake 15 mbaroni kwa madai ya kutaka kumtorosha
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu.
Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i3ccetVZ0Ec/VO_RDNqe6dI/AAAAAAADa5g/ApUfyh9T4T4/s72-c/GWAJIMA-afungikishwa%2Bvirago%2Bkawe.jpg)
KANISA LISILO RASMI LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA LAVUNJWA KAWE