KANISA LISILO RASMI LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA LAVUNJWA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-i3ccetVZ0Ec/VO_RDNqe6dI/AAAAAAADa5g/ApUfyh9T4T4/s72-c/GWAJIMA-afungikishwa%2Bvirago%2Bkawe.jpg)
Kanisa la lisilo rasmi la mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima lililokuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe,wilaya ya Kinondoni,jiji Dar limeamuriwa kuondoka mara moja na kuwacha eneo hilo wazi kwa ajili ya maendeleo ya watu wa kawe. Kanisa hilo ambalo kwa muda mrefu lemekuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu na kusababisha usumbufu na kero kubwa za makelele kwa wakazi wa maeneo hayo. Katika Barua iliosainiwa na Meneja...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKANISA LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA KAWE LATAKIWA KUVUNJWA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-3KSKcrp8RuY/VP0O6vtjbBI/AAAAAAAAH7Q/I3gDavZbEqw/s72-c/Siku%2B30%2Bza%2Bnotisi%2Bzimetimia%2BMchungaji%2BJosephat%2BGwajima%2BKufunga%2Bvirago%2BKawe%21.jpg)
Siku 30 za notisi zimetimia Mchungaji Josephat Gwajima Kufunga virago Kawe!
![](http://4.bp.blogspot.com/-3KSKcrp8RuY/VP0O6vtjbBI/AAAAAAAAH7Q/I3gDavZbEqw/s1600/Siku%2B30%2Bza%2Bnotisi%2Bzimetimia%2BMchungaji%2BJosephat%2BGwajima%2BKufunga%2Bvirago%2BKawe%21.jpg)
Katika Barua iliosainiwa na Meneja wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/p6_WYvVcRDM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/k2ep0mPc3kY/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s72-c/unnamed.jpg)
ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KWA MKUU WA UPELELEZI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s1600/unnamed.jpg)
Askofu Gwajima alifika kituo kikuu cha Polisi saa nane na dakika kumi na tano mchana wa tarehe 27/03/2015. Mara baada ya kufika kituoni hapo alielekezwa kwenda kumuona Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Constantine Masawe ambaye alikuwa akisubiri kufika...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Bunge la Tanzania lavunjwa rasmi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s72-c/unnamedg.jpg)
UPDATES: TAARIFA YA NYONGEZA/UFAFANUZI YA TUKIO LA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AKIWA HOSPITALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s1600/unnamedg.jpg)
Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:
Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat Gwajima. Kuhusu risasi 17 za Short Gun ni kwamba Askofu Gwajima anamiliki Bunduki...
10 years ago
VijimamboBARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA IRINGA LAVUNJWA RASMI
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia Idara ya Fedha na Biashara imekusanya jumla ya 5,357,849,597/- kati ya hizo 1,010,046,997/- in mapato ya ndani katika kipindi cha kuanzia mwezi Aprili hadi Julai 2014/2015.
Akisoma taarifa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KK2bTHiMvhE/default.jpg)