Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA_MAUTI NA KUZIMU SEHEMU YA TANO

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KANISA LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA KAWE LATAKIWA KUVUNJWA

Mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima Nakala ya barua kutoka kwa Meneja wa Mkoa wa Kinondoni wa NHC. KANISA la Mchungaji Josephat Gwajima  lililokuwa likiendesha shughuli katika viwanja vya Tanganyika Packers  Kawe, wilaya ya Kinondoni, jijinI Dar limeamriwa kuondoka eneo hilo. Kanisa hilo ambalo kwa muda mrefu  limekuwa likiendesha shughuli zake eneo hilo limedaiwa kusababisha usumbufu na kero kubwa za… ...

 

10 years ago

Vijimambo

KANISA LISILO RASMI LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA LAVUNJWA KAWE

Kanisa la lisilo rasmi la mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima lililokuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe,wilaya ya Kinondoni,jiji Dar limeamuriwa kuondoka mara moja na kuwacha eneo hilo wazi kwa ajili ya maendeleo ya watu wa kawe. Kanisa hilo ambalo kwa muda mrefu lemekuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu na kusababisha usumbufu na kero kubwa za makelele kwa wakazi wa maeneo hayo. Katika Barua iliosainiwa na Meneja...

 

10 years ago

Vijimambo

Siku 30 za notisi zimetimia Mchungaji Josephat Gwajima Kufunga virago Kawe!

Kanisa la lisilo rasmi la mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima lililokuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe,wilaya ya Kinondoni,jiji Dar limeamuriwa kuondoka mara moja na kuwacha eneo hilo wazi kwa ajili ya maendeleo ya watu wa kawe.Kanisa hilo ambalo kwa muda mrefu lemekuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu na kusababisha usumbufu na kero kubwa za makelele kwa wakazi wa maeneo hayo. 
Katika Barua iliosainiwa na Meneja wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HERI YA KUZALIWA MWANAKIJIJI JOSEPHAT LUKAZA..FELIZ CUMPLEAÑOS JOSEPHAT LUKAZA

Mwanakijiji Josephat LukazaTunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.Tunachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kwa kukuongezea maisha marefu na yenye heri hapa duniani ili vizazi vingine viweze kufaidi baraka na neema za mwenyezi Mungu kupitia Wewe.Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kwako iwe chachu na siku ya kufikiria ulipotoka, Ulipo na uendapo ili...

 

9 years ago

Global Publishers

Kuzimu Na Duniani-10

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Unataka kusema mchungaji wangu anayetumia damu ya Bwana Yesu kuokoa, maono yake si ya kweli?”

Niliwaona wale wanawake wakipepesuka, mikono wakaikinga kama wanaokwepa joto la moto uliokokwa.ENDELEA MWENYEWE SASA…

“Si ya kweli mke wangu. Nadhani tuachie hapo,” nilimwambia kwa sauti iliyojaa amri na ukali kidogo.
Mke wangu alitulia, wale wanawake walipotea ghafla kisha wakarudi tena.
“Mkeo anataka kutufanya nini sisi? Hajui kwamba tunaweza kumtoa roho kabisa?”...

 

9 years ago

Global Publishers

Ray C arudi kuzimu!

ray-c1Mrembo aliyewahi kutikisa kwenye ‘gemu’ la Bongo Fleva, Rehema Chalamilla ‘Ray C’.

Na Musa Mateja
KAMA ni kweli manenomaneno yanayozungumzwa mtaani kwamba, mrembo aliyewahi kutikisa kwenye ‘gemu’ la Bongo Fleva, Rehema Chalamilla ‘Ray C’, eti ameanza kubwia ‘unga’ (madawa ya kulevya) kama zamani, basi nyota huyo atakuwa anarudi ‘kuzimu’ ambako alishatoka miaka miwili nyuma, Risasi Jumatano linakupa zaidi.

Hata hivyo, kwa kuweka sawa mzani wa habari hii kama maadili ya uandishi yanavyotaka,...

 

10 years ago

GPL

JOSEPHAT KATABARUKI ALIVYOAGWA NA WAKAZI WA DAR

Laurence Kabende  (wa pili kulia) akiwa na ndugu wa  karibu katika viwanja vya Kanisa  la KKT Mtoni-Mtongani. Ndugu wa marehemu wakisubiri kuaga. Gari  lililobeba mwili wa marehemu likiwa jirani na mlango wa …

 

10 years ago

Michuzi

Heri ya Kuzaliwa Mdau Josephat Lukaza.

Mwanakijiji Josephat Lukaza.
Tunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.Tunachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kwa kukuongezea maisha marefu na yenye heri hapa duniani ili vizazi vingine viweze kufaidi baraka na neema za mwenyezi Mungu kupitia Wewe.
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kwako iwe chachu na siku ya kufikiria ulipotoka, Ulipo na uendapo ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani