KANISA LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA KAWE LATAKIWA KUVUNJWA
Mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima Nakala ya barua kutoka kwa Meneja wa Mkoa wa Kinondoni wa NHC. KANISA la Mchungaji Josephat Gwajima lililokuwa likiendesha shughuli katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe, wilaya ya Kinondoni, jijinI Dar limeamriwa kuondoka eneo hilo. Kanisa hilo ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiendesha shughuli zake eneo hilo limedaiwa kusababisha usumbufu na kero kubwa za… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i3ccetVZ0Ec/VO_RDNqe6dI/AAAAAAADa5g/ApUfyh9T4T4/s72-c/GWAJIMA-afungikishwa%2Bvirago%2Bkawe.jpg)
KANISA LISILO RASMI LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA LAVUNJWA KAWE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-3KSKcrp8RuY/VP0O6vtjbBI/AAAAAAAAH7Q/I3gDavZbEqw/s72-c/Siku%2B30%2Bza%2Bnotisi%2Bzimetimia%2BMchungaji%2BJosephat%2BGwajima%2BKufunga%2Bvirago%2BKawe%21.jpg)
Siku 30 za notisi zimetimia Mchungaji Josephat Gwajima Kufunga virago Kawe!
![](http://4.bp.blogspot.com/-3KSKcrp8RuY/VP0O6vtjbBI/AAAAAAAAH7Q/I3gDavZbEqw/s1600/Siku%2B30%2Bza%2Bnotisi%2Bzimetimia%2BMchungaji%2BJosephat%2BGwajima%2BKufunga%2Bvirago%2BKawe%21.jpg)
Katika Barua iliosainiwa na Meneja wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/p6_WYvVcRDM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/k2ep0mPc3kY/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s72-c/unnamed.jpg)
ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KWA MKUU WA UPELELEZI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s1600/unnamed.jpg)
Askofu Gwajima alifika kituo kikuu cha Polisi saa nane na dakika kumi na tano mchana wa tarehe 27/03/2015. Mara baada ya kufika kituoni hapo alielekezwa kwenda kumuona Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Constantine Masawe ambaye alikuwa akisubiri kufika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s72-c/unnamedg.jpg)
UPDATES: TAARIFA YA NYONGEZA/UFAFANUZI YA TUKIO LA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AKIWA HOSPITALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s1600/unnamedg.jpg)
Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:
Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat Gwajima. Kuhusu risasi 17 za Short Gun ni kwamba Askofu Gwajima anamiliki Bunduki...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KK2bTHiMvhE/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJImsD-5z-hyq3A95jSU2pGiaIK-LLVEFEZMIDwp6zIeLSGzUGgjjbu72NWzEtO6YbxUUvOpS*w6dqWpT4BbFDKr/gwajima.jpg?width=650)
MCHUNGAJI GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Upelelezi kesi ya Mchungaji Gwajima wakamilika
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPELELEZI wa kesi inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima na wenzake watatu umekamilika na kesi inatarajiwa kuanza usikilizwaji wa awali Julai 2, mwaka huu.
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Shadrack Kimaro aliifahamisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana wakati kesi hiyo ilipokuwa inatajwa.
Mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa, Kimaro alidai kesi ilikuwa inatajwa, lakini upelelezi wa kesi hiyo umekamilika hivyo aliomba tarehe...