Upelelezi kesi ya Mchungaji Gwajima wakamilika
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPELELEZI wa kesi inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima na wenzake watatu umekamilika na kesi inatarajiwa kuanza usikilizwaji wa awali Julai 2, mwaka huu.
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Shadrack Kimaro aliifahamisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana wakati kesi hiyo ilipokuwa inatajwa.
Mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa, Kimaro alidai kesi ilikuwa inatajwa, lakini upelelezi wa kesi hiyo umekamilika hivyo aliomba tarehe...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Upelelezi kesi ya Gwajima wakamilika
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s72-c/1.jpg)
UPELELEZI KESI YA MBASHA WAKAMILIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s1600/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1VRIS-j6ZL4/Xn3JXVL3mWI/AAAAAAALlSI/hsyQD6M-5AUdiV45S3oIcDQmDe1WJEhdQCLcBGAsYHQ/s72-c/sheria.jpg)
Upelelezi kesi ya Shamimu Mwasha na Mumewe wakamilika, sasa kwenda Mahakama Kuu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1VRIS-j6ZL4/Xn3JXVL3mWI/AAAAAAALlSI/hsyQD6M-5AUdiV45S3oIcDQmDe1WJEhdQCLcBGAsYHQ/s320/sheria.jpg)
UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara, Abdul Nsembo maarufu kama Abdulkandida (45) na mkewe, Shamim Mwasha(41), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.
Pia upande huo wa mashitaka umeiomba mahakama kuipanga kesi hiyo katika tarehe ya karibu ili waweze kuwasomea washtakiwa hao maelezo ya mashahidi (Commital) na vielelezo kwa ajili ya kesi hiyo kuhamia Mahakama Kuu ambayo ndio ina...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s72-c/download.jpg)
kesi ya bosi wa bandari na msaidizi wake: upelelezi wakamilika, maelezo ya awali kusikilizwa septemba 11, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s1600/download.jpg)
Na Sultani Kipingo, MahakamaniUPANDE wa Jamhuri katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Mlamkala ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, umedai kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi Kampuni ya Ujenzi ya China Communications Ltd bila kutangaza zabuni.Madai hayo yalitolewa leo na upande wa Jamhuri katika kesi hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mfawidhi, Isaya Arufani kwamba...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-GaIkHYvkC88/VZaestVTtcI/AAAAAAAAxBo/jh511g3rpWw/s72-c/gwajima%2Baskofu.jpg)
Je Unajua nini Kinaendelea Kuhusu ile Kesi ya Mchungaji Gwajima Kumtukana Askofu Pengo? Nimekuwekea Hapa Kinachoendelea
![](http://3.bp.blogspot.com/-GaIkHYvkC88/VZaestVTtcI/AAAAAAAAxBo/jh511g3rpWw/s640/gwajima%2Baskofu.jpg)
Askofu GwajimaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.Kesi hiyo ilitajwa jana kwa ajili ya washitakiwa kusomewa maelezo ya awali lakini iliahirishwa kwa kuwa Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera anayesikiliza kesi hiyo hakuwepo mahakamani.
Hakimu Mkazi, Thomas Simba aliahirisha kesi hiyo hiyo Julai 20, mwaka huu kwa ajili...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Upelelezi sakata la Ndugai kumpiga mgombea wakamilika
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KK2bTHiMvhE/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s72-c/unnamed.jpg)
ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KWA MKUU WA UPELELEZI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s1600/unnamed.jpg)
Askofu Gwajima alifika kituo kikuu cha Polisi saa nane na dakika kumi na tano mchana wa tarehe 27/03/2015. Mara baada ya kufika kituoni hapo alielekezwa kwenda kumuona Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Constantine Masawe ambaye alikuwa akisubiri kufika...