Ray C arudi kuzimu!
Mrembo aliyewahi kutikisa kwenye ‘gemu’ la Bongo Fleva, Rehema Chalamilla ‘Ray C’.
Na Musa Mateja
KAMA ni kweli manenomaneno yanayozungumzwa mtaani kwamba, mrembo aliyewahi kutikisa kwenye ‘gemu’ la Bongo Fleva, Rehema Chalamilla ‘Ray C’, eti ameanza kubwia ‘unga’ (madawa ya kulevya) kama zamani, basi nyota huyo atakuwa anarudi ‘kuzimu’ ambako alishatoka miaka miwili nyuma, Risasi Jumatano linakupa zaidi.
Hata hivyo, kwa kuweka sawa mzani wa habari hii kama maadili ya uandishi yanavyotaka,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Kuzimu Na Duniani-10
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Unataka kusema mchungaji wangu anayetumia damu ya Bwana Yesu kuokoa, maono yake si ya kweli?”
Niliwaona wale wanawake wakipepesuka, mikono wakaikinga kama wanaokwepa joto la moto uliokokwa.ENDELEA MWENYEWE SASA…
“Si ya kweli mke wangu. Nadhani tuachie hapo,” nilimwambia kwa sauti iliyojaa amri na ukali kidogo.
Mke wangu alitulia, wale wanawake walipotea ghafla kisha wakarudi tena.
“Mkeo anataka kutufanya nini sisi? Hajui kwamba tunaweza kumtoa roho kabisa?”...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/k2ep0mPc3kY/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Gerrard arudi Liverpool
10 years ago
Habarileo17 Jul
Lukuvi arudi jimboni
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi jana alikuwa miongoni mwa mawaziri waliorudi majimboni kuomba ridhaa ya kuwania kuteuliwa na CCM kuwania ubunge.
9 years ago
Habarileo24 Dec
Majabvi arudi kundini
MCHEZAJI Justice Majabvi wa Simba ameomba radhi kwa uongozi wa timu yake na tayari ameungana na wenzake kambini Shinyanga kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui keshokutwa.