Heri ya Kuzaliwa Mdau Josephat Lukaza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s72-c/JLK.jpg)
Mwanakijiji Josephat Lukaza.
Tunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.Tunachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kwa kukuongezea maisha marefu na yenye heri hapa duniani ili vizazi vingine viweze kufaidi baraka na neema za mwenyezi Mungu kupitia Wewe.
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kwako iwe chachu na siku ya kufikiria ulipotoka, Ulipo na uendapo ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s72-c/JLK.jpg)
HERI YA KUZALIWA MWANAKIJIJI JOSEPHAT LUKAZA..FELIZ CUMPLEAÑOS JOSEPHAT LUKAZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s640/JLK.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Heri ya Kuzaliwa mwanakijiji Josephat Lukaza
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s640/JLK.jpg)
Mwanakijiji Josephat Lukaza.
Tunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.
Tunachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kwa kukuongezea maisha marefu na yenye heri hapa duniani ili vizazi vingine viweze kufaidi baraka na neema za mwenyezi Mungu kupitia Wewe.
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kwako iwe chachu na siku ya kufikiria ulipotoka, Ulipo na uendapo...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Johnson Lukaza na Mwesigwa Lukaza washinda kesi dhidi ya EPA
Johnson Lukaza.
Mwesigwa Lukaza
JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
Na Happiness Katabazi (UB)
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdomo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l4W8jVdh3X*1SMsI6xD4S8k3w-GYwTdTSllRi7SKI7YCkkr0r6nvNWomX0BeS0g3BAQtYo2bQaj6Nll3I53ZW*5XCxVxkWNg/RAISKIKWETE.png?width=650)
HERI YA KUZALIWA MH. JAKAYA KIKWETE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t4lRGZ5APQu0s824vc1xjJpoDVlzaTvrcYTwuMdkU6qfJVd1t7yW-d*omtbGd2wMPoHY51*B9-INYXr2a-2MfPO*k-6TCjJ0/11052460_901984396506587_3944562307884460232_n.jpg?width=600)
HERI SIKU YA KUZALIWA JUMA MBIZO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dtIwDz3Dw6U/U_xJlX9eTLI/AAAAAAAGCeA/SAEY9nQyZ8Q/s72-c/IMG_5654.jpg)
Heri ya Kuzaliwa Mh. Edward Ngoyai Lowassa
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtIwDz3Dw6U/U_xJlX9eTLI/AAAAAAAGCeA/SAEY9nQyZ8Q/s1600/IMG_5654.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4vNPsqubuCI/U_xJsglsZjI/AAAAAAAGCeM/v6Gyez7QcVs/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OIMsngQKVezOXf9GAu2Iw9p7ZOa2wpvj-01QcbwfjpeJmcSrrf5vigfsR408X96iZEiEbuG3QSYSa5luxlY4aQ/MARY1.jpg?width=600)
GLOBAL PUBLISHERS TUNAKUTAKIA HERI YA SIKU YA KUZALIWA LEO
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mdau Othman Michuzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s1600/MMG25737.jpg)
Napenda Kuchukua Fursa hii Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma na Mwenye Kurehemu kwa kunijaalia Uhai na afya njema hadi kufikia siku hii ya leo,ambapo ninayo furaha kubwa sana kwa kuongeza namba moja katika umri wangu,kwani bila yeye hakuna kitu chochote kinachoweza kufanyika.
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili, Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail Michuzi,...
11 years ago
Michuzi18 Mar
hepi besdei ya kuzaliwa mdau Ronnie Mtawali
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/w8K8noX8-13r6CAVbr-5jRt8PWO89cQP6WYzB7vBmiipgjLrTpuChRslBz8hTvlmVelpB8gLlybw3disljC4QOAlRGs4OKpBfaOb4YDXj2tfimhsdaeCZaLe6AI4EO_AfCaprR49hK-AKSGmPBT409h2=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/1901973_767456013266534_2091588404_n.jpg)
Globu ya Jamii inamtakia afya nyema na maisha ya furaha kwa siku hii. Ankal ana furaha na fahari kubwa kuwa mmoja wa marafiki wa karibu wa Ronnie ambaye miaka takriban 20 iliyopita alimpigia picha zake za harusi. Na kama zawadi anamwambia Ronnie kwamba ile shilingi Elfu kumi na mbili (12,000/- Tshs) anayomdai ya album hadi leo anamsamehe. Msamaha huo unakuja kwa kuona Ronnie amedumisha ndoa yake hadi leo bila kutetereka...