Johnson Lukaza na Mwesigwa Lukaza washinda kesi dhidi ya EPA
Johnson Lukaza.
Mwesigwa Lukaza
JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
Na Happiness Katabazi (UB)
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdomo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE WASHINDA KESI YA EPA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s72-c/image.jpg)
NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s640/image.jpg)
Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s72-c/JLK.jpg)
HERI YA KUZALIWA MWANAKIJIJI JOSEPHAT LUKAZA..FELIZ CUMPLEAÑOS JOSEPHAT LUKAZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s640/JLK.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Aug
Hatima ya kesi ya Lukaza Oktoba 8
HATIMA ya washitakiwa wawili wa kesi ya wizi wa Sh bilioni sita za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), itajulikana Oktoba 8 mwaka huu wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itakapotoa uamuzi kama wana kesi ya kujibu au la.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s72-c/JLK.jpg)
Heri ya Kuzaliwa Mdau Josephat Lukaza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s640/JLK.jpg)
Tunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.Tunachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kwa kukuongezea maisha marefu na yenye heri hapa duniani ili vizazi vingine viweze kufaidi baraka na neema za mwenyezi Mungu kupitia Wewe.
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kwako iwe chachu na siku ya kufikiria ulipotoka, Ulipo na uendapo ili...
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Heri ya Kuzaliwa mwanakijiji Josephat Lukaza
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s640/JLK.jpg)
Mwanakijiji Josephat Lukaza.
Tunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.
Tunachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kwa kukuongezea maisha marefu na yenye heri hapa duniani ili vizazi vingine viweze kufaidi baraka na neema za mwenyezi Mungu kupitia Wewe.
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kwako iwe chachu na siku ya kufikiria ulipotoka, Ulipo na uendapo...
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Lukaza Blog yaleta Tunzo Nyumbani. Asanteni Wasomaji, watembeleaji na Bloggers wenzangu
Mmiliki wa Lukaza Blog, Josephat Lukaza akiwa ameshikilia Tunzo aliyoshinda katika Kipengele cha Blog Bora ya Siasa katika Shindano la African Blogger Awards 2015 lililofanyika nchini Africa Kusini .Tutembelee kwa kufuata link hii http://www.josephatlukaza.com
Shindano la African Blogger Awards linaloendeshwa na Kampuni ya Webfluential ya Nchini Afrika Kusini lilianzishwa mnamo mwaka 2014 huku Lukaza Blog ikishiriki Kwa Mara ya Kwanza na kuibuka kuwa mshindi wa Pili wa Blog bora ya...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Mmke, mume washinda rufani hukumu ya EPA
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mme na mke, Manase Makale na Edda Makale, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 26 kwa kuhusika na wizi wa fedha katika Akaunti...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Waliofungwa kesi ya EPA waachiwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mume na mke, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi sita jela kwa sababu ya wizi wa Sh bilioni 1.1 katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).