Mmke, mume washinda rufani hukumu ya EPA
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mme na mke, Manase Makale na Edda Makale, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 26 kwa kuhusika na wizi wa fedha katika Akaunti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE WASHINDA KESI YA EPA
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Johnson Lukaza na Mwesigwa Lukaza washinda kesi dhidi ya EPA
Johnson Lukaza.
Mwesigwa Lukaza
JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
Na Happiness Katabazi (UB)
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdomo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Dk. Maua Daftari ashinda rufani
ALIYEKUWA Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Dk. Maua Daftari, ameshinda rufani aliyokata dhidi ya mfanyabiashara Fatuma Salimini Said, aliyetakiwa alipwe sh milioni 100. Hukumu hiyo imetolewa mwishoni mwa...
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Rufani za wabunge zatamalaki CCM
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Dk. Daftari apongezwa kushinda rufani
HATUA ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Maua Daftari, kushinda rufani ya kesi ya utapeli iliyokuwa ikimkabili, imeelezwa kurejesha heshima na hadhi ya...
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Chadema kumpinga Zitto Mahakama ya Rufani
11 years ago
Mwananchi30 Jun
SHERIA: Jaji ajitoa rufani ya Ponda
11 years ago
Michuzi
RUFANI YA RICHARD MICHAEL WAMBURA YAKWAMA TFF

Wambura aliwasilisha rufani yake mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini ya Kaimu Mwenyekiti Wakili Mwita Waissaka kupinga uamuzi wa kumwengua katika kinyang’anyiro hicho uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya...
10 years ago
Vijimambo
MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI APONGEZWA BAADA YA KUAPISHWA


