Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHERIA: Jaji ajitoa rufani ya Ponda

>Jaji Shaban Lila wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, aliyekuwa amepangwa kusikiliza rufaa ya katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda, amebwaga manyanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Jaji ajitoa kusikiliza rufaa ya Ponda

TZ_-Cleric

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu , Sheikh Ponda Issa Ponda.

Na Mwandishi wetu.

Jaji wa Mahakama ya kuu kanda ya Dar es Salaam Shabani Lila aliyekuwa amepangwa kusikiliza rufaa ya Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu , Sheikh Ponda Issa Ponda, amejitoa kusikiliza rufaa hiyo  kwa maelezo Kuwa dhamira yake inamfanya ajione hawezi kusikiliza rufaa hiyo.

Jaji Lila alitoa uamuzi huo mwishoni mwa wiki ambapo alisema dhamira yake haimtumi kusikiliza rufaa hiyo namba 89/2013...

 

11 years ago

Habarileo

Jaji ajitoa kesi ya mfanyabiashara

JAJI Bethuel Mmila amejitoa katika jopo la majaji watano, wanaosikiliza rufaa ya mfanyabiashara Kibute Otienyeri, anayepinga adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kunajisi.

 

10 years ago

Michuzi

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI,MH. LEWIS MAKAME

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI   MHE. JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI LEWIS MAKAME KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE TAREHE 22 AGOSTI, 2014.


MUDA

TUKIO

MHUSIKA

3.00- 3.30 ASUBUHI

WANANCHI NA WATUMISHI KUWASILI

KAMATI YA MAZISHI

3.30 – 4.00 ASUBUHI

VIONGOZI WASTAAFU, MAWAZIRI, MAJAJI WASTAAFU , VIONGOZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, SERIKALI, TAASISI NA VYAMA VYA SIASA KUWASILI

KAMATI YA MAZISHI

4.00 -4.15 ASUBUHI

WAH....

 

11 years ago

Habarileo

Jaji Kaduri ajitoa kesi ya mauaji ya Profesa Jwani Mwaikusa

JAJI Lawrence Kaduri wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, amejitoa kusikiliza kesi ya mauaji ya watu watatu akiwemo aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kitivo cha Sheria, Profesa Jwani Mwaikusa.

 

10 years ago

GPL

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI, MH. LEWIS MAKAME LEO

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI LEWIS MAKAME KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE TAREHE 22 AGOSTI, 2014.…

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awaapisha Majaji 14 akiwamo Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani Tanzania

Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha-Rose Migiro, Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Kiongozi Mhe Shaaban Ally Lilla na Katibu Mkuu kiongozi katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu 13 na Jaji wa Mahakama ya Rufaa mmoja aliowaapisha Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 5, 2015. PICHA NA IKULU

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji ahoji wingi wa kesi za Ponda

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemtaka katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aeleze sababu za kuwa na kesi nyingi, huku akihusishwa na matukio mbalimbali ya uhalifu nchini.

 

10 years ago

Michuzi

JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam

Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha-Rose Migiro, Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Kiongozi Mhe Shaaban Ally Lilla na Katibu Mkuu kiongozi katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu 13 na Jaji wa Mahakama ya Rufaa mmoja aliowaapisha Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 5, 2015.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani