Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Kaduri ajitoa kesi ya mauaji ya Profesa Jwani Mwaikusa

JAJI Lawrence Kaduri wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, amejitoa kusikiliza kesi ya mauaji ya watu watatu akiwemo aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kitivo cha Sheria, Profesa Jwani Mwaikusa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Jaji ajitoa kesi ya mfanyabiashara

JAJI Bethuel Mmila amejitoa katika jopo la majaji watano, wanaosikiliza rufaa ya mfanyabiashara Kibute Otienyeri, anayepinga adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kunajisi.

 

10 years ago

Mtanzania

Hakimu kesi ya mauaji ya Dk. Mvungi ajitoa

mvungiNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Waliarwande Lema, amejitoa kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi, inayowakabili washtakiwa 11.
Tukio hilo lilitokea juzi, baada ya washtakiwa hao 11 kumuomba Hakimu Lema ajitoe kuisikiliza kesi yao ili iweze kupangwa kwa hakimu mwingine ambaye wao wanaona atawatendea haki.
Kutokana na ombi hilo, Hakimu Lema alijitoa na kuiahirisha kesi hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Mkuu aitaka dola ijipange kesi za mauaji ya albino

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amevitaka vyombo vya dola vinavyohusika na uhalifu, kujipanga kikamilifu kushughulikia kesi za mauaji na ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majaji wazidi kujitoa kesi ya Prof. Mwaikusa

MAJAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wamezidi kujitoa  katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Kitivo cha Sheria, Prof. Juan...

 

11 years ago

Mwananchi

SHERIA: Jaji ajitoa rufani ya Ponda

>Jaji Shaban Lila wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, aliyekuwa amepangwa kusikiliza rufaa ya katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda, amebwaga manyanga.

 

11 years ago

Dewji Blog

Jaji ajitoa kusikiliza rufaa ya Ponda

TZ_-Cleric

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu , Sheikh Ponda Issa Ponda.

Na Mwandishi wetu.

Jaji wa Mahakama ya kuu kanda ya Dar es Salaam Shabani Lila aliyekuwa amepangwa kusikiliza rufaa ya Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu , Sheikh Ponda Issa Ponda, amejitoa kusikiliza rufaa hiyo  kwa maelezo Kuwa dhamira yake inamfanya ajione hawezi kusikiliza rufaa hiyo.

Jaji Lila alitoa uamuzi huo mwishoni mwa wiki ambapo alisema dhamira yake haimtumi kusikiliza rufaa hiyo namba 89/2013...

 

10 years ago

Mwananchi

Hakimu ajitoa kesi ya jumuiya ya Uamsho

Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Hellen Liwa amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayowakabili viongozi 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI).

 

10 years ago

Vijimambo

Hakimu ajitoa kesi ya kina Sheikh Farid,

Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed
Hakimu Mkazi wa Mahakama Kisutu jijini Dar es Salaam, Hellen Riwa, amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake 21.

Hakimu Riwa amechukua hatua hiyo wakati upande wa washtakiwa ukiitaka mahakama imbadilishe kwa kutokuwa na imani naye.

Oktoba 1, mwaka huu, Hakimu Riwa alitoa...

 

10 years ago

Habarileo

Hakimu ajitoa kesi ya ugaidi ya Shehe Farid

Shekhe Farid Hadi AhmedHAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Hellen Riwa amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed na wenzake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani