Chadema kumpinga Zitto Mahakama ya Rufani
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kiko katika harakati za kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, uliompa ushindi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s72-c/j18%2B%25281%2529.jpg)
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s640/j18%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Zitto, CHADEMA ngoma nzito Mahakama Kuu
WAKILI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, Albert Msando na Tundu Lissu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana walichuana vikali katika kesi namba 1/2014 iliyofunguliwa na Zito...
11 years ago
Habarileo24 Jan
Chadema yaomba Mahakama kutupa kesi ya Zitto
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeomba Mahakama kutupilia mbali kesi ya madai, iliyofunguliwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe dhidi yao kwa kuwa haina msingi kisheria. Walidai hayo katika pingamizi la awali, walilowasilisha juzi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kupitia kwa mawakili wao, Peter Kibatala na Tundu Lissu.
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Kesi ya Zitto dhidi ya Chadema kutajwa leo Mahakama Kuu Dar
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nydCnLg0bUs/VK56bnCBQ7I/AAAAAAAG7-4/j1_aAWnx4W8/s72-c/IMG_4399.jpg)
MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI APONGEZWA BAADA YA KUAPISHWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nydCnLg0bUs/VK56bnCBQ7I/AAAAAAAG7-4/j1_aAWnx4W8/s640/IMG_4399.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Lx7nivrzos/VK56bgjdSvI/AAAAAAAG7_E/vBwDFlRKAYU/s640/IMG_4408.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2j1ANeFQmWE/VK56dDD3lcI/AAAAAAAG7_I/Jnz2n3LWrHg/s640/IMG_4426.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s72-c/zitto.jpg)
JUST IN: MAHAKAMA KUU imeifutilia mbali kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chadema
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s1600/zitto.jpg)
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifutilia mbali kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kukubali mapingamizi yaliwasilishwa na chama hicho.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za pande zote mbili kuhusu mapingamizi ya Chadema.
Mapema Saa 3:20 asubuhi Jaji Mziray alisoma uamuzi huo mbele ya wanaodaiwa kuwa wanachama huku upande...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nydCnLg0bUs/VK56bnCBQ7I/AAAAAAAG7-4/j1_aAWnx4W8/s72-c/IMG_4399.jpg)
MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI APONGEZWA BAADA YA KUAPISHWA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nydCnLg0bUs/VK56bnCBQ7I/AAAAAAAG7-4/j1_aAWnx4W8/s1600/IMG_4399.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Lx7nivrzos/VK56bgjdSvI/AAAAAAAG7_E/vBwDFlRKAYU/s1600/IMG_4408.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2j1ANeFQmWE/VK56dDD3lcI/AAAAAAAG7_I/Jnz2n3LWrHg/s1600/IMG_4426.jpg)