Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI APONGEZWA BAADA YA KUAPISHWA

Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga akimkabidhi shada la ua Mhe. Katarina Revocatti, Msajili Mteule wa Mahakama ya Rufani mara baada ya kuapishwa na Mhe. Rais mapema siku ya Alhamisi tar. 08.01.2015.Msajili Mkuu Mahakama ya Tanzania, Mhe. Ignas P. Kitusi akimpongeza Mhe. Katarina Revocatti kwa kuteuliwa kwake kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani (T).Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga, (kulia), Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Ignas...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI APONGEZWA BAADA YA KUAPISHWA LEO

Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga akimkabidhi shada la ua Mhe. Katarina Revocatti, Msajili Mteule wa Mahakama ya Rufani mara baada ya kuapishwa na Mhe. Rais mapema leo tar. 08.01.2015. Msajili Mkuu Mahakama ya Tanzania, Mhe. Ignas P. Kitusi akimpongeza Mhe. Katarina Revocatti kwa kuteuliwa kwake kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani (T). Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga, (kulia), Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Ignas P....

 

10 years ago

Vijimambo

JK AMUAPISHA MSAJILI MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA, NI KATARINA REVOCATI

Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha, Katarina Revocati (Kulia), kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi Januari 8, 2015Rais akimkabidhi KatibaRais akimpongezaMajaji wakibadilishana mawazoMajaji wakibadilishana mawazoJaji Mkuu, Mohamed Chande Othman (Kulia), akizungumza na Waziri wa Sheria na Katiba, Dkt. Asha Rose Migiro wakatiwa hafla hiyo ya kumuapisha KatarinaRais akisalimianana Jaji Mkuu Mohammed Chande OthmanWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.

 Mhe. John Lugalema  Kahyoza akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufaa mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali mhe. Kahyoza alikuwaMsajili Mahakama Kuu ya Tanzania. Mhe. Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili Mkuu  wa Mahakama  mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali  Mhe. Katarina alikuwa Msajili wa Mahakama ya rufani.Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Daftari apongezwa kushinda rufani

HATUA ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Maua Daftari, kushinda rufani ya kesi ya utapeli iliyokuwa ikimkabili,  imeelezwa kurejesha heshima na hadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam

Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha-Rose Migiro, Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Kiongozi Mhe Shaaban Ally Lilla na Katibu Mkuu kiongozi katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu 13 na Jaji wa Mahakama ya Rufaa mmoja aliowaapisha Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 5, 2015.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.

Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kumpinga Zitto Mahakama ya Rufani

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kiko katika harakati za kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, uliompa ushindi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe.

 

5 years ago

Michuzi

MASHAURI 157 YAANZA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI

Mawakili wa Serikali na wa kujitegemea wakiwa kwenye chumba cha Mahakama ya wazi kilichopo katika Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es salaam, kwa ajili kuendeshea mashauri kwa njia ya “Mahakama Mtandao” (kulia) ni Wakili Msomi wa kujitegemea Bw. Clement Kihoko na (kushoto) ni Wakili wa Serikali Mwandamizi Bi. Jenipha Masue.Kifaa maalumu kinachotumika kuendeshea mashauri kwa njia ya Mahakama Mtandao kilicho andaliwa kwa ajili ya kusikilizia mashauri wakati wa vikao vya Mahakama ya...

 

9 years ago

StarTV

KESI YA UGAIDI: Mahakama ya rufaa yasikiliza rufani ya kiongozi wa Uamsho.

 Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imesikiliza Rufaa iliyofunguliwa na Wakili wa Kiongozi wa Jumuiya ya Taasisi ya Kiislam ya uamsho na Mihadhara Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake dhidi ya uamuzi wa mahakama kuu kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ina uwezo wa kusikiliza kesi yao.

Wakati rufaa hiyo ikiwasilishwa Mahakama ya Rufaa, Upande wa Serikali ukaandika kusudio la kutaka kukata rufaa kupinga kusikilizwa kwa kesi hiyo kwamba shauri limewasilishwa kabla ya muda.

Kwa kuwa Kesi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani