MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI APONGEZWA BAADA YA KUAPISHWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nydCnLg0bUs/VK56bnCBQ7I/AAAAAAAG7-4/j1_aAWnx4W8/s72-c/IMG_4399.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga akimkabidhi shada la ua Mhe. Katarina Revocatti, Msajili Mteule wa Mahakama ya Rufani mara baada ya kuapishwa na Mhe. Rais mapema siku ya Alhamisi tar. 08.01.2015.
Msajili Mkuu Mahakama ya Tanzania, Mhe. Ignas P. Kitusi akimpongeza Mhe. Katarina Revocatti kwa kuteuliwa kwake kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani (T).
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga, (kulia), Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Ignas...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nydCnLg0bUs/VK56bnCBQ7I/AAAAAAAG7-4/j1_aAWnx4W8/s72-c/IMG_4399.jpg)
MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI APONGEZWA BAADA YA KUAPISHWA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nydCnLg0bUs/VK56bnCBQ7I/AAAAAAAG7-4/j1_aAWnx4W8/s1600/IMG_4399.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Lx7nivrzos/VK56bgjdSvI/AAAAAAAG7_E/vBwDFlRKAYU/s1600/IMG_4408.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2j1ANeFQmWE/VK56dDD3lcI/AAAAAAAG7_I/Jnz2n3LWrHg/s1600/IMG_4426.jpg)
10 years ago
VijimamboJK AMUAPISHA MSAJILI MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA, NI KATARINA REVOCATI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s640/Jaji%2B01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hp5y7Ax4H2M/VijBsx0Uw9I/AAAAAAAIBqs/quvXx-_wz_k/s640/Jaji%2B02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8UuQ1zi50rQ/VijBuAVR5LI/AAAAAAAIBq8/wGIIg9LOEC0/s640/Jaji%2B05.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Dk. Daftari apongezwa kushinda rufani
HATUA ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Maua Daftari, kushinda rufani ya kesi ya utapeli iliyokuwa ikimkabili, imeelezwa kurejesha heshima na hadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s72-c/j18%2B%25281%2529.jpg)
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s640/j18%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Chadema kumpinga Zitto Mahakama ya Rufani
5 years ago
MichuziMASHAURI 157 YAANZA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI
9 years ago
StarTV12 Nov
KESI YA UGAIDI: Mahakama ya rufaa yasikiliza rufani ya kiongozi wa Uamsho.
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imesikiliza Rufaa iliyofunguliwa na Wakili wa Kiongozi wa Jumuiya ya Taasisi ya Kiislam ya uamsho na Mihadhara Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake dhidi ya uamuzi wa mahakama kuu kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ina uwezo wa kusikiliza kesi yao.
Wakati rufaa hiyo ikiwasilishwa Mahakama ya Rufaa, Upande wa Serikali ukaandika kusudio la kutaka kukata rufaa kupinga kusikilizwa kwa kesi hiyo kwamba shauri limewasilishwa kabla ya muda.
Kwa kuwa Kesi hiyo...