Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MR NICE ABONDWA TENA

Ooh! Noo! Mwanzilishi wa staili ya Takeu kwenye Bongo Fleva, Nice Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ amebondwa kwa mara nyingine na kusababishiwa majeraha makubwa mwilini, Ijumaa Wikienda lina kisa cha kusikitisha. Habari za uhakika zilieleza kwamba tukio hilo lilijiri maeneo ya Sinza Afrika-Sana, Dar katika Klabu ya Ambiance. Mwanzilishi wa staili ya Takeu kwenye Bongo Fleva, Nice Lucas Mkenda ‘Mr Nice’. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO

Mpenzi wa mwanzilishi wa style ya ‘Takeu’ Lucas Mkenda aka Mr Nice, amejifungua mtoto wa kike na kupewa jina la Nicole.
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.

 

10 years ago

GPL

TIKO ABONDWA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
STAA wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan, hivi karibuni alionja joto ya jiwe baada ya kushushiwa kipigo kizito na hawara wake aliyetajwa kwa jina moja la Ally. Staa wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan akiwa na jeraha la kipigo kutoka kwa hawara yake. Kwa mujibu wa chanzo makini, siku ya tukio Tiko alikuwa na Ally nyumbani kwake, Mwananyamala ndipo ghafla hali ya hewa ikachafuka baada ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Nice Little Beliefs!

1. Once, all villagers decided to pray for rain,  On the day of prayer all the People gathered but  only one boy came with an umbrella.

securedownload

THAT’S FAITH!

 2. When you throw a baby in the air,  She laughs because she knows you will catch her.

securedownload (1)

THAT’S TRUST!

 3. Every night we go to bed, without any assurance of being  Alive the next morning but still we set the alarms to wake us up.

securedownload (2)

THAT’S HOPE!

 4. We plan big things for tomorrow in spite  Having zero knowledge of the future.

securedownload (3)

THAT’S...

 

9 years ago

GPL

A-Z MR. NICE KULISHWA SUMU

Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’. Chande Abdallah MASIKINI! Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu hali iliyosababisha akimbizwe hospitali na kulazwa. Amani lina mkanda mzima. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na...

 

10 years ago

TheCitizen

It is not your past, you are just not a nice person!

I found myself gravitating towards reality TV shows over this past festive season.

 

9 years ago

Bongo5

Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku

Hi

Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.

Hi

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:

Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...

 

9 years ago

TheCitizen

I will sleep in the bar drinking, says Tanzania’s Mr. Nice

Tanzanian musician, Mr. Nice, has defended his drinking habit by telling critics that he will drink as much as his wants, even if it means  sleeping at the bar.

 

10 years ago

Citizen News

Tanzanian Artiste Mr Nice Welcomes Second Child


Citizen News
Tanzanian Artiste Mr Nice Welcomes Second Child
Citizen News
Tanzanian Bongo artist Mr Nice has this year been blessed with his second child, Nicole. Nicole was born to the singer and his wife who have an older child, a son. Mr Nice intimated that he and his wife had waited to have a second child so that their children ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani