MR NICE ABONDWA TENA
![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZYfSuObMs1yfXnw*MLJeR49gM-w5P8tsngEHwnvhg6RrQYpcxqHsba9pXAkbjE4ngoFfwIeWKoQklZLTkUdncy9/nice.jpg?width=650)
Ooh! Noo! Mwanzilishi wa staili ya Takeu kwenye Bongo Fleva, Nice Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ amebondwa kwa mara nyingine na kusababishiwa majeraha makubwa mwilini, Ijumaa Wikienda lina kisa cha kusikitisha. Habari za uhakika zilieleza kwamba tukio hilo lilijiri maeneo ya Sinza Afrika-Sana, Dar katika Klabu ya Ambiance. Mwanzilishi wa staili ya Takeu kwenye Bongo Fleva, Nice Lucas Mkenda ‘Mr Nice’. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMZg4E4qU15*vg9IRq-AuX-YyY83FVpcErrliYdz6ybDA9KL7sEASazw2rtr-RSW7Xqpv0lmYeGKRvqlwvh7h--Q/tiko.jpg)
TIKO ABONDWA
11 years ago
Dewji Blog17 May
Nice Little Beliefs!
1. Once, all villagers decided to pray for rain, On the day of prayer all the People gathered but only one boy came with an umbrella.
THAT’S FAITH!
2. When you throw a baby in the air, She laughs because she knows you will catch her.
THAT’S TRUST!
3. Every night we go to bed, without any assurance of being Alive the next morning but still we set the alarms to wake us up.
THAT’S HOPE!
4. We plan big things for tomorrow in spite Having zero knowledge of the future.
THAT’S...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9qpEkwt57hWXr*lKHlGk4K5OID9eWdwRwuK8pxu7pDi5BFXi0tHVYIiQGCTC8iM85TkmtXVUPefkosso3YhQXNX/nice.jpg?width=650)
A-Z MR. NICE KULISHWA SUMU
10 years ago
TheCitizen27 Jan
It is not your past, you are just not a nice person!
9 years ago
Bongo510 Dec
Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku
![Hi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Hi-300x194.jpg)
Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:
Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...
9 years ago
TheCitizen13 Nov
I will sleep in the bar drinking, says Tanzania’s Mr. Nice
10 years ago
Citizen News05 May
Tanzanian Artiste Mr Nice Welcomes Second Child
Citizen News
Citizen News
Tanzanian Bongo artist Mr Nice has this year been blessed with his second child, Nicole. Nicole was born to the singer and his wife who have an older child, a son. Mr Nice intimated that he and his wife had waited to have a second child so that their children ...