Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku
Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:
Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCCZmZEmcR3KYPG7e24PdpGPua6oZCe-VitJvX5PU*1Hk6kFoEgoxwRjgkFvyTDGtUiJ*4nBXKDUSvibGW3zriF/Devotha.jpg)
DEVOTHA MBAGA AGEUKIA UFUGAJI
10 years ago
Habarileo10 Oct
Vodacom yafadhili mradi wa ufugaji kuku
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania imeadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku.
5 years ago
MichuziVIJANA WAHAMASISHWA UFUGAJI WA KUKU, KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Na. Edward Kondela
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewapa vifaranga vya kuku 540 kikundi cha vijana wajasiriamali ili kuhamasisha ufugaji utakaosaidia kuziba pengo la uhaba wa nyama ifikapo mwaka 2022 pamoja na kukuza sekta ya kuku nchini.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazao ya Mifugo na Usalama wa Chakula na Lishe wa wizara hiyo, Bw. Gabriel Bura amekabidhi vifaranga hivyo mwishoni mwa wiki kwa wawakilishi wa kikundi cha vijana watatu wajasiriamali hafla ilifanyika Mbweni jijini Dar es Salaam....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TslQhVTUIaw/VDafNfPpDmI/AAAAAAAGo1o/hEpKKFSEh0s/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku
Mbali na kufadhili...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wOxSNW6ydfM/UvsfEvGkGYI/AAAAAAAFMeY/JCW_6J-d72c/s72-c/unnamed+(80).jpg)
KAMISHNA MSAIDIZI WA POLISI SUZAN KAGANDA ATOA VITENGE 15 NA TSHS. 100,000/= KWA AJILI YA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU WILAYANI KONGWA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oO9mYzlSd2gkcklTySTP092Le24LohaUXPYP8fEjMwESHTVITA0vS0mxobbXJP--k-djvoDzX8TmN5x1NmJI7F4/WASTARA.jpg)
WASTARA AGEUKIA UJASIRIAMALI
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Makunga ageukia ujasiriamali
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo