WASTARA AGEUKIA UJASIRIAMALI
![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oO9mYzlSd2gkcklTySTP092Le24LohaUXPYP8fEjMwESHTVITA0vS0mxobbXJP--k-djvoDzX8TmN5x1NmJI7F4/WASTARA.jpg)
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya KATIKA kujiongezea vyanzo vya mapato, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameamua kujizatiti zaidi kwenye biashara ambapo sasa amefungua sehemu ya kuoshea magari maarufu kama Car Wash iliyopo Tabata, Dar es Salaam. Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma akiosha moja ya gari lililofika kupata huduma ya uoshaji katika 'Car Wash service station' yake iliyopo Tabata, jijini Dar es Salaam....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Makunga ageukia ujasiriamali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHDkPsqpeUVJog-QPpioW8wCIHTJOKkm2GbwcuxKsiuoEDdY6qMB4nZykMKOAMb-0J7WZDzMgZkRaaz24cqcRil/mai.jpg?width=650)
MAINDA AGEUKIA KUIMBA INJILI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCCZmZEmcR3KYPG7e24PdpGPua6oZCe-VitJvX5PU*1Hk6kFoEgoxwRjgkFvyTDGtUiJ*4nBXKDUSvibGW3zriF/Devotha.jpg)
DEVOTHA MBAGA AGEUKIA UFUGAJI
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo
9 years ago
Bongo510 Dec
Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku
![Hi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Hi-300x194.jpg)
Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:
Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Mlela ageukia Bongo Fleva
Staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela.
Suzan kayogela
BAADA ya kuegemea upande wa filamu kwa muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela ameamua kugeukia Muziki wa Bongo Fleva rasmi ili kutimiza ndoto zake za muda mrefu alizokuwa nazo.
Akistorisha na kona ya Bongo Muvi Mlela alisema kuwa, kabla ya kujikita kwenye uigizaji alikuwa na nia ya kuanza kufanya muziki lakini baadaye alikuja kubadili uamuzi na kufanya filamu ambazo zimemletea heshima kubwa.
“Nimeshatengeneza ngoma yangu ambayo...
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Aliyetemwa ukuu wa wilaya ageukia ubunge
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2629702/highRes/950184/-/maxw/600/-/ix45r7/-/ukuu.jpg)
Dar es Salaam. Siku moja baada ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu amesema sasa anageukia ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi.Kingu alisema siku nyingi alikuwa na shauku ya kugombea ubunge katika jimbo hilo, kwamba kuondolewa katika wadhifa huo kutampa nafasi ya kujipanga na kuhakikisha anashinda jimbo hilo linaloongozwa na Mohamed Hamisi Missanga (CCM).“Unajua kwa muda...
10 years ago
GPL23 Mar
10 years ago
Mwananchi20 Feb
SIASA: Aliyetemwa ukuu wa wilaya ageukia ubunge