Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEVOTHA MBAGA AGEUKIA UFUGAJI

Na Imelda Mtema
Staa wa filamu za Kibongo, Devotha Mbaga baada ya kuona filamu zinazingua ameamua kugeukia ufugaji wa ng’ombe ambapo amejichimbia kijijini maeneo ya Chanika jijini Dar. Staa wa filamu za Kibongo, Devotha Mbaga akimnyunyuzia Ng'ombe dawa ya kuulia wadudu. Akichonga na Ijumaa, Devotha alisema kuwa si kama ameacha kabisa sanaa lakini kutokana na muda mwingi kubaini unapotea kwenye filamu ambayo haimlipi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DEVOTHA MBAGA ANASA!

Devota Mbaga. Na Brighton Masalu
MSANII aliyefanya poa kwenye filamu kadhaa ikiweko ya Malaika, Devotha Julius Mbaga ‘The First Born’ yuko katika wakati mgumu kufuatia kunasa ujauzito ambao kwa sasa siyo siri tena. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, mmoja wa rafiki wa msanii huyo (jina kapuni) alisema kuwa licha ya msanii huyo kufanya siri juu ya ujauzito huo, lakini kwa sasa dalili zinaonesha kuwepo kwa...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA MBAGA AZIMIA MSIBANI, ALAZWA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MASKINI! Siku chache baada ya kutoa wosia kuwa akifa asizikwe kwa mbwembwe, mwigizaji Devotha Mbaga amezimia ghafla wakati wa kuaga mwili wa mwongozaji wa filamu na vipindi mbalimbali Bongo, marehemu George Otieno ‘Tyson’. Mwigizaji maarufu wa Bongo Movie Devotha akiwa amelazwa hospitalini baada ya kuzimia ghafla wakati wa kuaga mwili wa mwongozaji wa filamu Bongo, marehemu...

 

9 years ago

Bongo5

Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku

Hi

Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.

Hi

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:

Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...

 

9 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KIFO CHA MICHAEL JAPHET MBAGA NA JOHN JAPHET MBAGA

FAMILIA ya marehemu mzee Japhet Mbaga, wa Dar es Salaam kwa masikitiko makubwa inatangaza vifo vya kaka zao wapendwa, MICHAEL NA JOHN JAPHET MBAGA, vilivyotokea hapa DSM siku ya jumapili na jumatatu.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika makaburi ya Kinondoni, siku ya alhamisi tarehe 3 Septemba, 2015 saa 10.00 jioni. 
Ratiba ya kutoa heshima za mwisho itafanyika siku hiyo hiyo, saa 7.00 mchana nyumbani kwa Mary Rusimbi (Mkurugenzi Mkuu, WOMEN FUND TANZANIA) eneo la Tabata - shule, nyumba za...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA APATA PIGO

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga amepata pigo la baa yake kuteketea kabisa kwa moto. Msanii wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga Akizungumza kwa njia ya simu Devotha alisema wakati ajali hiyo inatokea hakuwepo kwani yupo nje ya Jiji la Dar ambapo alipata taarifa kutoka kwa wafanyakazi wake kwamba baa yake hiyo iliyopo maeneo ya...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA AFUMWA AKIUZA NGUO KARIAKOO

Staa wa filamu Devotha Mbaga afumwa akiuza nguo Kariakoo kipindi hiki cha kuelekea sikukuu. (Habari Na Hamida Hassan/GPL)

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA ATOA WOSIA WA KIFO CHAKE

Stori: Gladness Mallya
WAKATI vifo mfululizo vikitokea Mei mwaka huu miongoni mwa wasanii maarufu nchini, nyota wa filamu Bongo, Devotha Mbaga ameibuka na kusema endapo ataaga dunia, hahitaji kufanyiwa mbwembwe wakati wa msiba na mazishi yake kama wasanii wengine walivyofanyiwa. Msanii maarufu wa filamu Bongo, Devotha Mbaga. Akistorisha na gazeti hili, Devotha alisema hatahitaji kununuliwa jeneza la kifahari, bali lichongwe...

 

11 years ago

GPL

WASTARA AGEUKIA UJASIRIAMALI

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya KATIKA kujiongezea vyanzo vya mapato, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameamua kujizatiti zaidi kwenye biashara ambapo sasa amefungua sehemu ya kuoshea magari maarufu kama Car Wash iliyopo Tabata, Dar es Salaam. Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma akiosha moja ya gari lililofika kupata huduma ya uoshaji katika 'Car Wash service station' yake iliyopo Tabata, jijini Dar es Salaam....

 

10 years ago

Mwananchi

Makunga ageukia ujasiriamali

Ikiwa ni mwezi mmoja tangu astaafu kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, mmoja wa waanzilishi wa Gazeti la Mwananchi, mwanahabari Theophil Makunga ameweka wazi dhamira yake ya kujikita kwenye ujasiriamali baada ya kuitumikia kampuni hiyo kwa muda usiopungua miaka 15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani