DEVOTHA AFUMWA AKIUZA NGUO KARIAKOO

Staa wa filamu Devotha Mbaga afumwa akiuza nguo Kariakoo kipindi hiki cha kuelekea sikukuu. (Habari Na Hamida Hassan/GPL)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Polisi akamatwa akiuza pembe Kenya
11 years ago
Dewji Blog22 Aug
Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’
Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa wanazouza, mawasiliano yao na mitaa wanayopatikana na kuyaweka sehemu moja ili kukupa urahisi wa kutafuta bidhaa unayohitaji.
Sasa unawaweza kuokoa muda na pesa zako kwa kutumia tovuti hii mpya ya www.kariakootz.com kupata orodha ya maduka mengi yanayouza bidhaa kariakoo kisha unaweza kuwasiliana...
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
Picha iliyobamba: Enzi Mbunge wa Iringa Mjini akiuza Mitumba
Mpendwa msomaji ni matumaini yetu unaendelea kuperuzi mtandao wako wa kijamii wa Mo dewji blog, siku zote tupo kwa ajili ya kukuletea habari na matukio mbalimbali kwa njia tofauti ambayo yatakuelimisha, kukuburudisha na kukujenga.
Leo katika picha ya siku ama iliyobamba, ni ya Mbunge wa Iringa, mjini, Mh.Mchungaji Peter Msigwa.
Kwa mujibu wa chanzo cha picha hiyo iliyowekwa na Msigwa mwenyewe, k upitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Facebook na kuipa maelezo haya “Enzi hizo nauza...
11 years ago
GPL
KAJALA AFUMWA NA MWANAUME CHINA!
11 years ago
GPL
DEVOTHA MBAGA ANASA!
11 years ago
GPL
DEVOTHA APATA PIGO
11 years ago
Habarileo07 Oct
Mwalimu afumwa gesti na mwanafunzi wake
MWALIMU wa Shule ya Sekondari ya Muungano iliyopo mji mdogo wa Himo wilayani Moshi, Richard Ndoile (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, kwa tuhuma za kukutwa gesti na mwanafunzi wake wakifanya mapenzi.
10 years ago
GPL
DEVOTHA MBAGA AGEUKIA UFUGAJI