Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha iliyobamba: Enzi Mbunge wa Iringa Mjini akiuza Mitumba

Mpendwa msomaji ni matumaini yetu unaendelea kuperuzi  mtandao wako wa kijamii wa Mo dewji blog, siku zote tupo kwa ajili ya kukuletea habari na matukio mbalimbali kwa njia tofauti ambayo yatakuelimisha, kukuburudisha na  kukujenga.

Leo katika picha ya siku ama iliyobamba, ni ya Mbunge wa Iringa, mjini, Mh.Mchungaji Peter Msigwa.

Kwa mujibu wa chanzo cha picha hiyo iliyowekwa na Msigwa mwenyewe, k upitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Facebook na kuipa maelezo haya “Enzi hizo nauza...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbunge wa Iringa Mjini kizimbani

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) jana amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa mashitaka ya kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli.

 

11 years ago

Michuzi

KESI YA MBUNGE WA IRINGA MJINI (CHADEMA) YAAHIRISHWA MPAKA APRIL 9

picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii.
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mh.PETER MSIGWA  kwa mara nyingine amefikishwa leo  katika mahakama  kuu ya mkoa , kufuatia tuhuma inayomkabili ya kufanya vurugu katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya nduli manispaa ya iringa.
Tukio hilo limetoke tarehe 6 ya mwezi wa pili ambapo  SALUM  KEITA mjumbe wa kampeni hizo kupitia  chama cha mapinduzi alidai kufanyiwa vurugu na mbunge wa jimbo la iringa mjini kwa kumpiga.
Kesi hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZAIDI ZA MBUNGE WA MBEYA MJINI

Mr. Sugu akiwa Hospitali.Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi akifanya mawasiliano kwa ndugu na jamaa mara baada ya kupata ajali mbaya na kunusurika kifo,ajali hiyo imetokea eneo la Mlima Kitonga Mkoani Iringa mchana wa leo.kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa Mh. Mbilinyi alikuwa safarini akitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar akiwa na jamaa zake Wanne katika gari hilo lenye namba za usajili T 148 BQE. katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
Mbunge wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jimbo la Iringa mjini lilikosa mbunge makini sasa ni zamu yangu ubunge -Mwakalebela

Mgombea ubunge jimbo la  Iringa mjini Frederick Mwakalebela  akiomba kura kwa  wananchi wa kata ya Mshindo jana wakati wa mkutano wake wa kampeni. Wananchi wakiwa katika mkutano huo wa kampeni jana. Aliyekuwa mgombea ubunge katika mchakato wa ndani ya chama Michael Mlowe  akimnadi Mwakalebela. Katibu  wa CCM Iringa mjini Bw Elisha Mwampashi  akimnadi  Mwakalebela.

Mwakalebela akiomba kura kwa wananchi wa kata ya Mshindo jana.

Wana CCM na wananchi wa kata ya...

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: RAIS MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA FAINI

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amemnusuru mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa Kuendelea kutumikia kifungo cha Miezi mitano   ama kulipa faini ya sh. Milioni 40 alichohukumiwa juzi Machi 10 2020 baada ya kulipa faini ya sh milioni 38 kati ya milioni 40.

Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020  baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli baada ya wao kuchangishana  na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza fedha hizo...

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: TAZAMA PICHA ZA ZINEDINE ZIDANE ENZI ZA UTOTO/UJANA WAKE

2Zinedine Zidane a.k.a Zizou amezaliwa June 23 mwaka 1972 na hadi leo amefikisha miaka 43. Zidane ameoa mwaka 1994 mke wake anaitwa Veronique Zidane. Hadi leo wana watoto wanne ambao ni Enzo Fernandez, Theo Zidane, Elyaz Zidane, Luca Zidane.Happy Birthday To Fundi Zizou.
13
enzokombezizi

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA SHILINGI MILIONI 38

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John ombe Magufuli amemnusuru mbunge wa Iringa Mjini kupitia tiketi ya CHADEMA Peter Msigwa Kutoendelea kutumikia kifungo cha Miezi mitano ama kulipa faini ya sh. Milioni 40 alichohukumiwa juzi Machi 10 2020 baada ya kumlipia faini ya sh milioni 38 kati ya milioni 40.

Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020 baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli kufuatia wao kuchangishana na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza...

 

10 years ago

Michuzi

Mamia ya wana Iringa waendelea kumchangia Mwanahabari Kibiki achukue fomu ya Ubunge Iringa mjini

Na Fredy Mgunda,Iringa
 WAKATI joto la uchaguzi likiendelea kupanda katika jimbo la Iringa mjini, mamia ya vijana, wanawake, walemavu  na wazee katika jimbo hilo wanaendelea kuchangishana fedha ili kumuwezesha mwanahabari Frank Kibiki kuchukua fomu ya kuomba ateuliwe kupeperusha bendera ya CCM, kwenye jimbo hilo.Zoezi hilo linaloendeshwa na baadhi ya vijana waliomtaka Kibiki ambaye ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM taifa, kutotoa rushwa badala yake atumie hoja kuelezea sera zake, walisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani