PICHA ZAIDI ZA MBUNGE WA MBEYA MJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-b6WVoJ64xXg/VLGXAb8ofBI/AAAAAAACVhU/MSJ9vlopiyI/s72-c/IMG-20150110-WA0073.jpg)
Mr. Sugu akiwa Hospitali.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi akifanya mawasiliano kwa ndugu na jamaa mara baada ya kupata ajali mbaya na kunusurika kifo,ajali hiyo imetokea eneo la Mlima Kitonga Mkoani Iringa mchana wa leo.kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa Mh. Mbilinyi alikuwa safarini akitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar akiwa na jamaa zake Wanne katika gari hilo lenye namba za usajili T 148 BQE. katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
Mbunge wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kYLfWN4-a0awc2SwQD4Dbk1wTf-rt7vs0*kBHFZifWAES8WS3DT*QIPOkARHU7TQUWKH9dGm1SlWYoP-KVV2*JPXTgoDgNYA/BREAKINGNEWS.gif)
MBUNGE WA MBEYA MJINI APATA AJALI MLIMA KITONGA
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
Picha iliyobamba: Enzi Mbunge wa Iringa Mjini akiuza Mitumba
Mpendwa msomaji ni matumaini yetu unaendelea kuperuzi mtandao wako wa kijamii wa Mo dewji blog, siku zote tupo kwa ajili ya kukuletea habari na matukio mbalimbali kwa njia tofauti ambayo yatakuelimisha, kukuburudisha na kukujenga.
Leo katika picha ya siku ama iliyobamba, ni ya Mbunge wa Iringa, mjini, Mh.Mchungaji Peter Msigwa.
Kwa mujibu wa chanzo cha picha hiyo iliyowekwa na Msigwa mwenyewe, k upitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Facebook na kuipa maelezo haya “Enzi hizo nauza...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NgTYX_b80jw/VK6S3s2eHqI/AAAAAAAAA1Q/vSwXWPSuaLQ/s72-c/Sugu7.jpg)
10 years ago
MichuziMBUNGE WA MOROGOR MJINI ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 20 KUTATUA KERO YA MAJI KATA YA MLIMANI
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini.
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Mbunge wa Morogoro mjini atumia zaidi ya milioni 20 kutatua kero ya maji kata ya Mlimani
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akikagua Vifuko vya mndihira na Mwere Vilivyo Kata ya mlimani Ambavyo Vimegarimu Kiasi cha Shilingi Milion 3 zilizotolewa na Mbunge huyo.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akipanda Safu ya Milima Uluguru...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-5gFnkvzRgeg/VK77P8hl9oI/AAAAAAAAA2w/XlbhWoMdFkU/s72-c/Sugu%2BMsigwa1.jpg)
PICHA ZAIDI: KILICHOJILI MBEYA LEO: NI PROF. JAY, MAKAMU MWENYEKITI BAVICHA TAIFA, MH. MSIGWA NA MBILINYI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5gFnkvzRgeg/VK77P8hl9oI/AAAAAAAAA2w/XlbhWoMdFkU/s1600/Sugu%2BMsigwa1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-twW5MwcrMRY/VK77P8K4XjI/AAAAAAAAA2o/x-FfmWlVlu0/s1600/Sugu%2BMsigwa2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp2os4eOZhw/VK77Qct0iuI/AAAAAAAAA20/HVc6Y9mlbeg/s1600/Sugu%2BMsigwa3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EKLuFGJ_dRE/VK77QsTsFtI/AAAAAAAAA3Y/6Dp_S9eFl78/s1600/Sugu%2BMsigwa4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjoqyjHjopU/VK77Qgw8YLI/AAAAAAAAA24/ezkqhRUOU9M/s1600/Sugu%2BMsigwa5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2I86x4fwPps/VK77Q1NQB5I/AAAAAAAAA3A/vHe7r0gmpI0/s1600/Sugu%2BMsigwa6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WKR4frqv_dY/VK77RQzUsMI/AAAAAAAAA3M/7Pekx2YddFg/s1600/Sugu%2BMsigwa7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cBG8V7Se7UM/VK77Rf_D6YI/AAAAAAAAA3Q/owJo4xni0rY/s1600/Sugu%2BMsigwa8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Huqua4Xd_ZU/VK77R08sKUI/AAAAAAAAA3c/jcF1oP4YfgM/s1600/Sugu%2BMsigwa9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2renKif20sc/VK77P903ipI/AAAAAAAAA2s/4eJ-gQhFOTg/s1600/Sugu%2BMsigwa.jpg)
9 years ago
MichuziMBEYA CITY YABUGIZA JKT RUVU GOLI 3-0 MJINI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s72-c/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s1600/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ndeL_cgZELs/VMDJ0Y5wfnI/AAAAAAAACIw/kmARkGFEgXw/s1600/NMB%2Bna%2BMwanjelwa.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini
![](https://mmi203.whatsapp.net/d/BBpzRaxwBsSgUTYiFylVpFWovuQ/AlSN--FYdVvyXzfBoJJbdd0Y5jIcL3YPi0UOIWPXknOC.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...