Jimbo la Iringa mjini lilikosa mbunge makini sasa ni zamu yangu ubunge -Mwakalebela
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Frederick Mwakalebela akiomba kura kwa wananchi wa kata ya Mshindo jana wakati wa mkutano wake wa kampeni.
Wananchi wakiwa katika mkutano huo wa kampeni jana.
Aliyekuwa mgombea ubunge katika mchakato wa ndani ya chama Michael Mlowe akimnadi Mwakalebela.
Katibu wa CCM Iringa mjini Bw Elisha Mwampashi akimnadi Mwakalebela.
Mwakalebela akiomba kura kwa wananchi wa kata ya Mshindo jana.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FNLyoeQ8W7M/VJVRkOFCFZI/AAAAAAAG4m0/puAAh11yKrk/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Mwanahabari Kibiki atangaza kuwania Ubunge jimbo la Iringa mjini
![](http://3.bp.blogspot.com/-FNLyoeQ8W7M/VJVRkOFCFZI/AAAAAAAG4m0/puAAh11yKrk/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Frank Kibiki, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Iringa mjini, kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na waandishi wa Habari leo ofisini kwake, Kibiki amesema ni wakati wa vijana kushika hatamu kwa kuwania nafasi mbali mbali, ndani ya CCM na hatimaye kwenye umma wa watanzania.
Kibiki ambaye ni Katibu mwandamizi wa Umoja wa Vijana, katika wilaya mbali mbali nchini amesema ameamua kuomba kupitishwa nafasi...
9 years ago
Vijimambo07 Sep
MWIGULU NCHEMBA ASABABISHA MAFURIKO IRINGA MJINI,WANANCHI WAAHIDI KUMCHAGUA MWAKALEBELA KWA USTAWI WA IRINGA
![](https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11987063_424257781109789_1218270817209739675_n.jpg?oh=d3b25221b0ee98dc26e39703133fe598&oe=566C9D6B)
![](https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/10330376_424257834443117_2590905553608251965_n.jpg?oh=a3f7d44b65f6bae9791174720f3870fa&oe=566E5BB0)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-9/11954816_424257594443141_5282530544314119712_n.jpg?oh=13d73bee1c57e97dab5fabcceddde988&oe=567BA70F&__gda__=1454089245_9f13f1afb82220720964f12a406934f0)
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Dosari yajitokeza kura za maoni ubunge jimbo la Iringa mjini, mgombea ataka mchakato usitishwe
Frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo wa mkoani Iringa akionyesha walivyokosea jina lake.
Frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo wa mkoani Iringa.
Na Mwandishi wetu, Iringa
WAKATI kura za maoni za kutafuta wagombea ubunge katika majimbo yote nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) zikipigwa leo, mmoja kati ya wagombea 13 wanaotafuta nafasi hiyo Jimbo la Iringa Mjini, Frank Kibiki anataka zoezi hilo jimboni humo...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Messi: Sasa zamu yangu
9 years ago
Michuzi07 Sep
MWIGULU NA MWAKALEBELA JANA IRINGA MJINI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/ukI5K7ctfgzjWLJEPHOWswsMTs23i6V93q-2rRAMoUSNC3gswLTXBuFc7scVkGBrvqHw35BWYKP9CdcL3PgD6sC19rYuFca-iDW6HYX5iYQ0w5eZcDz75-_UTNjqEsBIiksvkZKa4qYDoIcqZVKWQV_FQaPOpvkDCeDmI57obPV1e3k4V5ZQcq1QW3OZ0HPBzJ1IloQWEL-q8SKpSUIzzWGoMCuKEBJVfNdgIDJNJD2-PYDV=s0-d-e1-ft#https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11987063_424257781109789_1218270817209739675_n.jpg?oh=d3b25221b0ee98dc26e39703133fe598&oe=566C9D6B)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YXVeKgwz9myZiTeInd7mHZAGndLpkCOKrJy2HkvSSYPSQgCmGYNBApxPk_AEKNS94oK6-TKrSvngn1nX4LJc1tx0XOZ7j5C-iMToVtVfIS-bC7q-V0T_OtqHO6CKDgL8aYDshGoanwsyihdjv8KPUsvsR0a3tCAVRNvIOc_-pQtnnAYnxGhTgi-x1T9gFKckTiqLrRfcIBsLTsYj6Np0h5s9v1STkiqljL8FkX8uh8sEJ6NhMBrIUo-wz_MN6LfMKhaf2-EQ7Fx9TTIfnaNdi8aU6oyKBSuLTnv110zK4ZhO_QK9HYBfTn_TOIsC=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlf1/v/t1.0-9/11953285_424257077776526_8972949369218059459_n.jpg?oh=662c57043f09e069a92e6ec3e6c2ac25&oe=567A74CF&__gda__=1449104816_da4508f928de6dc5cf244d10755a17d5)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/vVfvQCUh5_bxClSpEp86Om7O7UlCUkvBOcwK_MaQuuK40HXW4JP40Sx1yLWtNQimEmFnHxLCAtPH5PpSJdV37oMOFa_TPa6nVbEFEJQ-g_AcsSHlbgO0BsGxvtJZrFus6tldik1j4WdcKYB0aZsqaK9Kl0ghd8ZTU6ikUr1-Q4PHdF7Sj9_2TGDYvKjg2yn73F8SHilYSxrg8rrl9LOuznfG2rK9BafWlDDNJBBF_wWytVSF=s0-d-e1-ft#https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11052002_424257104443190_3387261758153421603_n.jpg?oh=b6d20669a9a59f0955cc3a3573b54a23&oe=5668119C)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/sM8lWVSEAnaK3hMfvk95W79vDN7iRHLJH2XDOBrCY-XsrpO6ch5BuhG19oZxrMg895rpfC3wz7aSTfY9Rj5Ts9GuMOQx_s1geEJyG2gCiytjmkA219CPIYf5p-tueK_NICzJkKOeEX86flaD4pnwPTnKBxA39ZC8P2vGtetAhp6akjnEyh0xmDf3kceRAYfVBBY4Xnxk99hVsf1IQjKJF0D0ePC5KmyIp4NBsHtLeJgmQozt=s0-d-e1-ft#https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11216571_877891272264698_2418205193507046526_n.jpg?oh=85bf61eb0b47ff6fe5fe94274744e05e&oe=5662C653)
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mwakalebela aahidi benki Iringa Mjini
11 years ago
Bongo528 Jul
Baada ya Vee Money na Joh Makini, sasa ni zamu ya Shaa kwenye Coke Studio Africa