Baada ya Vee Money na Joh Makini, sasa ni zamu ya Shaa kwenye Coke Studio Africa
Mwaka huu Coke Studio Africa imeamua kuchukua wasanii wengi zaidi nchini kushiriki kwenye kipindi hicho. Shaa akiwa na Jackie Baada ya Vanessa Mdee kuungana na msanii wa Nigeria, Burna Boy na Joh Makini kurekodi na Chidinma wa Nigeria, sasa ni zamu ya Shaa ambaye yupo Nairobi, Kenya kurekodi kwenye kipindi hicho na msanii wa Uganda, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Africanjam.ComCOKE STUDIO AFRICA MASH UP: 2FACE & VANESSA MDEE "Vee Money" - AFRICAN QUEEN / NOBODY BUT ME
Published on Oct 25, 2015Producer Cobhams mashes up an African classic with an East African chart topper for Vanessa Mdee and 2Face to perform on Coke Studio Africa.
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also...
11 years ago
Bongo507 Jul
Picha: Joh Makini ala shavu la Coke Studio Africa, ataperform na Chidinma wa Nigeria
Nyota ya mweusi, Joh Makini inazidi kung’aa baada ya kuwa mmoja wa wasanii waliochukuliwa kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa kinachofanyika jijini Nairobi, Kenya. Joh Makini atapanda kurekodi session yake na muimbaji mrembo wa Nigeria, Chidinma. Joh Makini na Chidinma Joh Makini akishoot vipande vya show hiyo
10 years ago
GPLMSANII JOH MAKINI ALIVYOWAPAGAWISHA MASHABIKI KWENYE TAMASHA LA COKE STUDIO, COCO BEACH
Akiwasalimia mashabiki wake. Mashabiki…
10 years ago
Bongo514 Sep
Wycleif Jean kufanya collabo na Shaa na wasanii wa Coke Studio Africa
Muimbaji wa muziki na kiongozi wa kundi la zamani la Fugees, Wycleif Jean ametua jijini Nairobi, Kenya kwa mradi wa Coke Studio Africa. Msanii huyo kutoka Haiti atarekodi wimbo na wasanii mbalimbali wa Afrika akiwemo Shaa kama sehemu ya kipindi hicho. Shaa ameshare picha akiwa na Wycleif na kusema ndoto yake imetimia. “Wyclef…Dreams do come […]
10 years ago
Bongo505 Oct
Video: Shaa na Jackie wapoteza mbaya kwenye Coke Studio na ‘Subira’
Shaa na Jackie Chandiru wamepokea pongezi nyingi kutokana show ya wimbo ‘Subira’ kwenye kipindi cha Coke Studio Africa. Jionee mwenyewe kwanini show yake imeshangiliwa zaidi.
10 years ago
Bongo506 Nov
Wyclef Jean kutumbuiza jukwaa moja na Shaa, Chidinma kwenye finali za Coke Studio, Kenya Jumamosi hii
Member wa kundi la miaka ya 90 Fugees, Wyclef Jean anatarajiwa kuwa nchini Kenya weekend hii, ambapo atatumbuiza kwenye jukwaa moja na wasanii wengine wa Africa akiwemo Shaa kutoka Tanzania, katika fainali za msimu wa pili wa Coke Studio Africa. Wasanii wengine wa Afrika watakaotumbuiza kwenye fainali hizo ni pamoja na Chidinma wa Nigeria, Navio […]
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Diamond kurekodi na Yemi Alade kwenye Coke Studio Africa
Diamond Platnumz amerejea tena kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa na awamu hii atatangeneza pair na hitmaker wa Johny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Diamond na Yemi Alade Diamond ni msanii wa nne mwaka huu kutoka Tanzania aliyeshiriki kwenye kipindi hicho kinachorekodiwa jijini Nairobi, Kenya. Wengine ni Vanessa Mdee aliyerekodi na […]
10 years ago
Bongo530 Aug
Shaa adai Coke Studio imempa connection kubwa, afanya colabo na Redsan na Chidinma
Msugua Gaga nambari moja nchini, Sarah Kaisi aka Shaa, amedai kuwa kushiriki kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa kumempa connection kubwa. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa hakutegemea kama angeitwa kwenye msimu huu wa pili wa kipindi hicho. “Namshukuru sana Mungu anajua Tanzania tupo wasanii wengi kwahiyo ilikuwa ni furaha sana kupata nafasi […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania