Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi: Sasa zamu yangu

Ndoto ya mshambuliaji Lionel Messi ni kuipa ubingwa wa dunia Argentina katika fainali zijazo za Kombe la Dunia nchini Brazil.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Jimbo la Iringa mjini lilikosa mbunge makini sasa ni zamu yangu ubunge -Mwakalebela

Mgombea ubunge jimbo la  Iringa mjini Frederick Mwakalebela  akiomba kura kwa  wananchi wa kata ya Mshindo jana wakati wa mkutano wake wa kampeni. Wananchi wakiwa katika mkutano huo wa kampeni jana. Aliyekuwa mgombea ubunge katika mchakato wa ndani ya chama Michael Mlowe  akimnadi Mwakalebela. Katibu  wa CCM Iringa mjini Bw Elisha Mwampashi  akimnadi  Mwakalebela.

Mwakalebela akiomba kura kwa wananchi wa kata ya Mshindo jana.

Wana CCM na wananchi wa kata ya...

 

10 years ago

Michuzi

IKULU NI ZAMU YANGU WENGINE WASINDIKIZAJI - MONICA MBEGA

Na  Matukiodaima Blog
WAKATI mbio za makada  wa chama  cha mapinduzi (CCM)  waliotia nia ya  kuomba  kuteuliwa  kuwa wagombea wa nafasi za urais zikiendelea  kushika kasi kwa  kila mgombea kutumia mbinu yake ya  kuwafikia wana CCM kuomba udhamini , aliyekuwa mbunge wa  jimbo la Iringa mjini Monica Mbega leo  ameingia wilaya ya Iringa mjini mkoani hapa  kuomba udhamini na kupata  wajumbe 33  huku akiwataka  watanzania kutoaminishwa na mbwembwe  za  watia nia wenzake wanazofanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Monica Mbega: Ikulu ni zamu yangu wengine wasindikizaji

1

Aliyekuwa  mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini Monica Mbega  akionyesha fomu yenye orodha ya wana CCM  33 wa mkoa  wa Iringa waliomdhamini katika  safari  yake ya  kuomba kuteuliwa  kuwa mgombea Urais wa Jamahuri ya  Muungano wa Tanzania  kupitia CCM jana mjini Iringa (picha na Francis Godwin). 3 Monica  Mbega (kulia) akifurahi pamoja na wana CCM Iringa mjini ambao  walijitokeza kumdhamini  kuwa mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM (picha na Francis Godwin). 01 Naibu  meya wa Manispaa ya ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa ni zamu ya Kiiza

VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...

 

10 years ago

Michuzi

SASA NI ZAMU YA WAKULIMA NA NMB

Benki ya NMB ndio benki pekee yenye matawi katika kila wilaya hapa nchini.Hivyo basi ndio benki pekee inayowajali wateja wake kwa kua karibu zaidi wakati wote.NMB imekua ikiandaa semina elekezi kwa wateja wake .Sasa ilikua zamu ya wakulima na wadau wote wa kilimo cha kahawa wameweza kupata fursa ya kujua huduma mbali mbali zitolewazo na NMB kwa ajili ya wakulima na wadau wote wa hudiuma za kibenki Hivi karibuni NMB iliandaa semina kwa ajili ya wadau wa biashara za Kilimo ambayo imeendeshwa...

 

10 years ago

Michuzi

SASA NI ZAMU YA KINONDONI CUP.

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda akionesha sehemu ya vifaa vya michezo atavyogawa kesho Jumamosi kwa timu zitazojitokeza Leaders Club jijini Dar es salaam kushiriki ligi ya Kinondoni atayoizindua kukuza vipaji.MH: PAUL MAKONDA MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, anawaomba Wanakinondoni wote na wakazi wa DSM katika kuandaa maandalizi ya Team za Wilaya ya Kinondoni zitakazo kuwa na wachezaji watakao lipwa mshahara; katika:

1.Mpira wa miguu
(Football).
2.Netball.
3.Basketball.

Kushirikiana nae...

 

9 years ago

Vijimambo

UKAWA SASA NI ZAMU YENU KULIA


Na Happiness KatabaziKWA Takribani Miezi miwili sasa vyama vinavyounda UKAWA vimekuwa vikipata dhoruba Kali kutoka kwa baadhi ya waliokuwa Viongozi wa juu wa UKAWA kuamua kuachia madaraka vyama vyao Vya siasa walivyokuwa wakivitumikia sambamba na wanachama wao.Tumewashuhudia waliokuwa Majemedali wa UKAWA ambaye aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba kuamua ukajiudhuru wadhifa wake huo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Waziri Mkuu aliyejidhuru Edward...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani