SASA NI ZAMU YA WAKULIMA NA NMB
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhA_2OBRe18/VP1Jcr3sCsI/AAAAAAAHIz8/V4Kyo3GTiuU/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Benki ya NMB ndio benki pekee yenye matawi katika kila wilaya hapa nchini.Hivyo basi ndio benki pekee inayowajali wateja wake kwa kua karibu zaidi wakati wote.NMB imekua ikiandaa semina elekezi kwa wateja wake .Sasa ilikua zamu ya wakulima na wadau wote wa kilimo cha kahawa wameweza kupata fursa ya kujua huduma mbali mbali zitolewazo na NMB kwa ajili ya wakulima na wadau wote wa hudiuma za kibenki Hivi karibuni NMB iliandaa semina kwa ajili ya wadau wa biashara za Kilimo ambayo imeendeshwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZCvfJ2TmN8/VH628tXa8pI/AAAAAAAG05Y/MfTK9OirFYs/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Sasa NMB kuwafikia wateja wake Mpaka Vijijini kupitia NMB Wakala
Kuingia kwa MaxCom kwenye benki ya NMB kunamaanisha kuwa NMB itazidi kupanua Zaidi mtandao wao kwa kuingia hadi vijijini tofauti na benki zingine. Kupitia mawakala wa MaxCom, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka fedha kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Sasa ni zamu ya Kiiza
VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Messi: Sasa zamu yangu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5AxoDGNuQ_w/VYRL-WwkpkI/AAAAAAAHhtM/VE_-PMQsI4M/s72-c/unnamed%2B%252873%2529.jpg)
SASA NI ZAMU YA KINONDONI CUP.
![](http://2.bp.blogspot.com/-5AxoDGNuQ_w/VYRL-WwkpkI/AAAAAAAHhtM/VE_-PMQsI4M/s640/unnamed%2B%252873%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MrJA01FEzjw/VYRMxnGJg_I/AAAAAAAHhtQ/-y-G2CC6Rgg/s640/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EL05aegQF38/VYRMxlgL0rI/AAAAAAAHhtU/4BLSx8KV5t0/s640/unnamed%2B%252875%2529.jpg)
1.Mpira wa miguu
(Football).
2.Netball.
3.Basketball.
Kushirikiana nae...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xYTFZ8CWDbA/Ve09FOMbtjI/AAAAAAAAD-4/1v9a4f1WNPk/s72-c/image.jpg)
UKAWA SASA NI ZAMU YENU KULIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYTFZ8CWDbA/Ve09FOMbtjI/AAAAAAAAD-4/1v9a4f1WNPk/s640/image.jpg)
Na Happiness KatabaziKWA Takribani Miezi miwili sasa vyama vinavyounda UKAWA vimekuwa vikipata dhoruba Kali kutoka kwa baadhi ya waliokuwa Viongozi wa juu wa UKAWA kuamua kuachia madaraka vyama vyao Vya siasa walivyokuwa wakivitumikia sambamba na wanachama wao.Tumewashuhudia waliokuwa Majemedali wa UKAWA ambaye aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba kuamua ukajiudhuru wadhifa wake huo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Waziri Mkuu aliyejidhuru Edward...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BC9rzQI9RUU/U09bOCi2ATI/AAAAAAAAXMM/RCPt6F9W3LE/s72-c/MBEYA.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Miaka 22 ya wageni kumiliki sasa zamu ya wazawa
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Sasa ni Zamu ya Yusup Mlela na Esha Buheti Kutua Marekani Kufanya Project
“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama. Hahahahaha.alianza Wastara . Mona . Sasa zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA . CHAO pamoja wasaniii wadogo haoooooooooooooooooo . Mmmmmmmmmmmmmm majuuuuuuuu”- Steven Mengere 'Steve Nyerere’ aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity alibandika andiko hili mtandaoni...