Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SASA NI ZAMU YA KINONDONI CUP.

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda akionesha sehemu ya vifaa vya michezo atavyogawa kesho Jumamosi kwa timu zitazojitokeza Leaders Club jijini Dar es salaam kushiriki ligi ya Kinondoni atayoizindua kukuza vipaji.MH: PAUL MAKONDA MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, anawaomba Wanakinondoni wote na wakazi wa DSM katika kuandaa maandalizi ya Team za Wilaya ya Kinondoni zitakazo kuwa na wachezaji watakao lipwa mshahara; katika:

1.Mpira wa miguu
(Football).
2.Netball.
3.Basketball.

Kushirikiana nae...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa ni zamu ya Kiiza

VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...

 

11 years ago

Mwananchi

Messi: Sasa zamu yangu

Ndoto ya mshambuliaji Lionel Messi ni kuipa ubingwa wa dunia Argentina katika fainali zijazo za Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

10 years ago

Michuzi

SASA NI ZAMU YA WAKULIMA NA NMB

Benki ya NMB ndio benki pekee yenye matawi katika kila wilaya hapa nchini.Hivyo basi ndio benki pekee inayowajali wateja wake kwa kua karibu zaidi wakati wote.NMB imekua ikiandaa semina elekezi kwa wateja wake .Sasa ilikua zamu ya wakulima na wadau wote wa kilimo cha kahawa wameweza kupata fursa ya kujua huduma mbali mbali zitolewazo na NMB kwa ajili ya wakulima na wadau wote wa hudiuma za kibenki Hivi karibuni NMB iliandaa semina kwa ajili ya wadau wa biashara za Kilimo ambayo imeendeshwa...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Vijimambo

UKAWA SASA NI ZAMU YENU KULIA


Na Happiness KatabaziKWA Takribani Miezi miwili sasa vyama vinavyounda UKAWA vimekuwa vikipata dhoruba Kali kutoka kwa baadhi ya waliokuwa Viongozi wa juu wa UKAWA kuamua kuachia madaraka vyama vyao Vya siasa walivyokuwa wakivitumikia sambamba na wanachama wao.Tumewashuhudia waliokuwa Majemedali wa UKAWA ambaye aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba kuamua ukajiudhuru wadhifa wake huo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Waziri Mkuu aliyejidhuru Edward...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo, wakati wa uzinduzi wa Kinondoni CUP uliofanyika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam jana ambapo pia aligawa vifaa vya michezo kwa timu  138 vikiwa ni seti mbili za jezi na mipira miwili kwa kila timu. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo katika uzinduzi huo.
 DC Makonda akisisitiza jambo katika uzinduzi huo. Kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk.Aziz Msuya, Diwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 22 ya wageni kumiliki sasa zamu ya wazawa

Tanzanite ni madini adimu yanayochimbwa eneo moja tu duniani ambalo ni Mererani katika Wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara.

 

10 years ago

Bongo Movies

Sasa ni Zamu ya Yusup Mlela na Esha Buheti Kutua Marekani Kufanya Project

“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama. Hahahahaha.alianza Wastara . Mona . Sasa zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA . CHAO pamoja wasaniii wadogo haoooooooooooooooooo . Mmmmmmmmmmmmmm majuuuuuuuu”- Steven Mengere 'Steve Nyerere’  aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity alibandika andiko hili mtandaoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani