KAJALA AFUMWA NA MWANAUME CHINA!

Stori: Musa Mateja Tap! Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja ‘K’ anadaiwa kufumwa na mwanaume nchini China huku akisusiwa sherehe ya bethidei yake, Ijumaa Wikienda limeinyaka. Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja ‘K’. Kwa mujibu wa kachero wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) aliyepiga kambi Hong Kong, China, mwishoni mwa wiki iliyopita Kajala alionekana na mwanaume huyo aliyetajwa kwa jina moja la Meddy...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
KAJALA: KIYOYOZI CHA CHINA KIMENIBADILISHA
11 years ago
GPL
KAJALA LAIVU NA MUME WA MTU CHINA
11 years ago
GPL
PATI YA KAJALA YAIBUA MAMBO NCHINI CHINA
11 years ago
GPL
DEVOTHA AFUMWA AKIUZA NGUO KARIAKOO
11 years ago
Habarileo07 Oct
Mwalimu afumwa gesti na mwanafunzi wake
MWALIMU wa Shule ya Sekondari ya Muungano iliyopo mji mdogo wa Himo wilayani Moshi, Richard Ndoile (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, kwa tuhuma za kukutwa gesti na mwanafunzi wake wakifanya mapenzi.
11 years ago
GPL
AFUMWA NA MCHUMBA'KE, AKIMBIA, AGONGWA, AFA
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
SHAROBARO AFUMWA NA MKE WA MTU NDANI YA GARI BOVU