AFUMWA NA MCHUMBA'KE, AKIMBIA, AGONGWA, AFA
![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*We1IdhsTbmBR9T2FSJSQWLNPMOtNsKYb2SFXRUU3EzTNsVfJihOXQfGbYhMocTRWH44PbkyO*AorJxus5GQ42T/moro.jpg?width=650)
Na Dustan Shekidele, Morogoro DUNIA ina mambo! Fundi wa magari mkoani Morogoro, Julius Mavella maarufu kama Papa Mavella, Machi 5 mwaka huu, majira ya saa saba usiku, alifariki dunia baada ya pikipiki aliyokuwa akiendesha, kugongana na nyingine, wakati akimkimbia mchumba’ke baada ya kuwa amefumwa akijirusha katika Klabu ya Itigi, iliyopo Msamvu inayodaiwa kutumiwa na machangudoa. Julius Mavella (kulia) akisakata muziki...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Mwanamume agongwa na treni, afa
MWANAMUME anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 hadi 30, amefariki dunia baada ya kugongwa na treni, eneo la Mabibo Muleba, Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgAy4Y6w0x8F*BqAnerBwsXA1pO5OeXyrmpbWHsacXHWegnS5iIOkEC7FgZfY1jro4r0wMklYsQKleGeW7AXYQA0/TabuJosephIhuyaambayenikakawamarehemu.jpg?width=650)
MAMA ARUKA KWENYE BAISKELI, AGONGWA, AFA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycSBGhzaB9j0SqPt2sr*gKaWdfTngBeKbsEkdQmMn7hD6i*YnbvzNtQ4kPZypIGW9fGgq64LyBzeKCitSVEZ03IG/rose.jpg)
ROSE NDAUKA MCHUMBA'KE WAACHANA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmxwwcG0QTPZzuzyC5BXsIgwzCHzHzAjn3emBdtmOGTtdnoS6tPDBszpqXODVupkq64WzC6SY21DyQoKUYbyd-BF/Nay.jpg?width=650)
NAY AMFUMANIA MCHUMBA'KE KITANDANI
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
11 years ago
Michuzi18 Feb
KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
![](https://4.bp.blogspot.com/-yF_B61RPSXE/UwNobcg0nQI/AAAAAAAABqg/22IqbDfuLN4/s1600/OSCAR.jpg)
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam. Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9fmojbSGpCVY9TW54lhlj-ptX7F*gkaWxvLUUMfsGtJMtgH59svzjuFjg0jwmEqXG5NomQBFZbiGCm0rxkjtgMs/hands.in.the.air.gif?width=650)
MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0tjSlJ7QBvXeXFm2TxRoBOadgNbgzCdPO2mRTruZWcUW112JPAZXaMwpLlQrBX27-whZEA-R9wsI4kh6BfR-L7Vw/kajalaz.jpg)
KAJALA AFUMWA NA MWANAUME CHINA!