MAMA ARUKA KWENYE BAISKELI, AGONGWA, AFA!
![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgAy4Y6w0x8F*BqAnerBwsXA1pO5OeXyrmpbWHsacXHWegnS5iIOkEC7FgZfY1jro4r0wMklYsQKleGeW7AXYQA0/TabuJosephIhuyaambayenikakawamarehemu.jpg?width=650)
Kaka wa marehemu(Sarah Joseph ), Tabu Joseph Ihuya akisimulia mkasa huo. Stori: Mashaka Kisusi, Mwanza/Ijumaa Wikienda Majonzi! Mama mmoja mkazi wa Kijiji cha Lubuga wilayani Misungwi mkoani hapa, Sarah Joseph (22), amegongwa na lori lenye namba za usajili T 115 AVE lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Dar kisha kufa papohapo baada ya kuruka kutoka kwenye baiskeli. Tukio lilitokea hivi karibuni wilayani humo ambapo Sarah...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Mwanamume agongwa na treni, afa
MWANAMUME anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 hadi 30, amefariki dunia baada ya kugongwa na treni, eneo la Mabibo Muleba, Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*We1IdhsTbmBR9T2FSJSQWLNPMOtNsKYb2SFXRUU3EzTNsVfJihOXQfGbYhMocTRWH44PbkyO*AorJxus5GQ42T/moro.jpg?width=650)
AFUMWA NA MCHUMBA'KE, AKIMBIA, AGONGWA, AFA
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Afa akiendesha baiskeli
WATU wawili wamefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti akiwemo mwanamume aliyetambuliwa kwa jina la Mashaka Mkani aliyefariki dunia akiwa anaendesha baiskeli. Kamanda wa Polisi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s72-c/IMG_8943.jpg)
BAISKELI MKOMBOZI WA USAFIRI KWA AKINA MAMA WENGI WA NZEGA MKOANI TABORA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s1600/IMG_8943.jpg)
10 years ago
Habarileo03 Nov
Alipukiwa na bomu kwenye gari, afa
KIJANA Juma Rashid anayesadikiwa kuwa na umri kati ya 21 na 23 amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kilicholipuka ndani ya gari na kumkata kiganja cha mkono, mguu na tumbo, huku watu wengine watatu waliokuwa ndani ya gari hilo nao wakijeruhiwa.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mtoto afa kwenye sufuria ya chai
MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja, wilayani Bunda katika Mkoa wa Mara, amekufa baada ya kutumbukia kwenye sufuria ya chai iliyokuwa jikoni.
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Yaliyojiri kwenye msafara wa waendesha Baiskeli kutoka Mbeya kwenda jijini Dar
Rais wa Chama cha Waendesha Baiskeli Tanzania, Godfrey Jacks Muhagama, ambaye pia ni miongoni mwa waendesha baiskeli kwenye msafara huo ulioanzia Mbeya akitoa maelezo ya namna shughuli hiyo ilivyofanikiwa.
Mwakilishi wa Norwegian Church Aid nchini Tanzania, Tale Hungnes akiwapongeza waendesha baiskeli mara baada ya kufika Dar es Salaam wakitokea kwenye mpaka wa Malawi na Tanzania, Kasumulo Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dr. Rashid Rutengwe akisaini madai ya haki ili kuweka imani...
9 years ago
MichuziYALIYOJIRI KWENYE MSAFARA WA WAENDESHA BAISKELI KUTOKA MBEYA KWENDA JIJINI DAR ES SALAAM