YALIYOJIRI KWENYE MSAFARA WA WAENDESHA BAISKELI KUTOKA MBEYA KWENDA JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Chama cha Waendesha Baiskeli Tanzania, Godfrey Jacks Muhagama, ambaye pia ni miongoni mwa waendesha baiskeli kwenye msafara huo ulioanzia Mbeya akitoa maelezo ya namna shughuli hiyo ilivyofanikiwa.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dr. Rashid Rutengwe akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waendesha baiskeli na viongozi wa msafara huo.
Msafara wa waendesha baiskeli ukiingia kwenye mji wa Ilula Mkoani Iringa
Esther Joshua ambaye ni mwanamke pekee kwenye msafara wa kuendesha baiskeli kutoka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Yaliyojiri kwenye msafara wa waendesha Baiskeli kutoka Mbeya kwenda jijini Dar
Rais wa Chama cha Waendesha Baiskeli Tanzania, Godfrey Jacks Muhagama, ambaye pia ni miongoni mwa waendesha baiskeli kwenye msafara huo ulioanzia Mbeya akitoa maelezo ya namna shughuli hiyo ilivyofanikiwa.
Mwakilishi wa Norwegian Church Aid nchini Tanzania, Tale Hungnes akiwapongeza waendesha baiskeli mara baada ya kufika Dar es Salaam wakitokea kwenye mpaka wa Malawi na Tanzania, Kasumulo Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dr. Rashid Rutengwe akisaini madai ya haki ili kuweka imani...
10 years ago
MichuziMSAFARA WA KINANA WASAFIRI KWA BAISKELI MILIMA YA USAMBARA KWENDA MKINGA,TANGA
11 years ago
GPLYALIYOJIRI KWENYE MAHAFALI YA 19 YA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM (DSJ)
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Hatimaye vijana wanaosafiri kwa Baiskeli Kutoka Mbeya kuelekea Dar wavuka salama Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
Hii ilikuwa tarehe 15.06.2015 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro aliwaaga rasmi vijana hao ili kuanza safari yao kutoka Mbeya kwenda Dar.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
Safari yao ikiwa imeanza na hapa mmoja wa vijana hao wakiwa safarini na hapa akonesha umahili wa utaalam wa kuchezea Baiskeli maeneo ya Chimala.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
Tarehe 17.06.2015 waliwasili Iringa na kulala hapo kisha asubuhi kuonana na uongozi wa Polisi Mkoani Iringa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)
Vijana hawa watatu wakiwa Iringa sasa wanahimiza watu kujiandikisha katika...
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Yaliyojiri katika shoo ya Twanga Pepeta kwenye Club ya Maisha jijini Dar
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/128.jpg)
Mwimbaji wa Twanga Pepeta, Salehe Kupaza akiimba kwa hisia kubwa kwa mashabiki wao waliofika kutizama shoo yao ya nguvu kulia ni Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZC_MkxbF_Vs/VRHQcHAis6I/AAAAAAAHM-E/pxfBoSc0Wqg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
NEWS ALERT: MRADI WA BARABARA YA NJIA SITA KUTOKA DAR ES SALAAM KWENDA CHALINZE (KM 100) WAIVA
10 years ago
GPLMAENDELEO YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR, KUSAFIRISHWA KESHO KWENDA MBEYA KWA MAZISHI
11 years ago
Michuzi31 Jan
KINANA AKUTANA NA WAENDESHA BODABODA JIJINI MBEYA LEO
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/154.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10