Alipukiwa na bomu kwenye gari, afa
KIJANA Juma Rashid anayesadikiwa kuwa na umri kati ya 21 na 23 amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kilicholipuka ndani ya gari na kumkata kiganja cha mkono, mguu na tumbo, huku watu wengine watatu waliokuwa ndani ya gari hilo nao wakijeruhiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Alipukiwa na bomu akishambulia polisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6-49uZWHiucuyYKegJgOGau01oTB*MAieZjMvPJnE53iBhfYbbIVmp6CETJWgmRHEo01k1SjlZ6dZrUOw5N6sGj/Bomu.jpg?width=650)
MWIMBA INJILI ALIPUKIWA NA BOMU AKIWA DUKANI
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Breaking News…DED Iramba alipukiwa na bomu kitandani
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Iramba , Halima Hanjali Peter (47) anusurika kuawa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu la kutengenezwa kienyeji.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Halima Hanjalli Peter (47), amenusurika kifo kwa kitu kinachodhaniwa kuwa bomu kulipukia kitandani...
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Bomu lalipuka Zanzibar,mmoja afa saba wajeruhiwa
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mtoto afa kwenye sufuria ya chai
MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja, wilayani Bunda katika Mkoa wa Mara, amekufa baada ya kutumbukia kwenye sufuria ya chai iliyokuwa jikoni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgAy4Y6w0x8F*BqAnerBwsXA1pO5OeXyrmpbWHsacXHWegnS5iIOkEC7FgZfY1jro4r0wMklYsQKleGeW7AXYQA0/TabuJosephIhuyaambayenikakawamarehemu.jpg?width=650)
MAMA ARUKA KWENYE BAISKELI, AGONGWA, AFA!
10 years ago
Habarileo21 Aug
Bomu laua watu 3 kwenye basi
WATU watatu wamekufa na wengine sita kujeruhiwa na bomu la kurusha kwa mkono lililotupwa kwenye gari la abiria na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wilayani Buhigwe, katika Mkoa wa Kigoma.
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Bomu kwenye mkahawa wa Kabul lauwa wengi