Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bomu kwenye mkahawa wa Kabul lauwa wengi

Shambulio la kujitolea mhanga katika mji mkuu wa Afghhanistan, Kabul, umeuwa wageni wengi wa mashirika ya kimataifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Bomu lauwa mmoja mjini Zanzibar

Bomu linaloarifiwa kuwa la misumari limeripuliwa Zanzibar wakati wageni wengi wamekusanyika mjini humo kwa shughuli mbili kubwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lauwa wengi Uchina

Uchina yasema tetemeko kusini-magharibi mwa nchi limeuwa watu wengi na kusababisha uharibifu mkubwa

 

10 years ago

BBCSwahili

2 wauawa katika shambulizi la bomu Kabul

Watu wawili wameripotiwa kufa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya mlipuko kwenye mji mkuu wa Afganistan Kabul.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL

Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…

 

11 years ago

Mwananchi

Sifa, Kagera Rangers, Bomu FC zimeibua nyota wengi Ligi Kuu

Timu za soka za Sifa United ya Manzese, Kagera Rangers ya Magomeni na Bomu FC ya Ilala ni timu kongwe jijini Dar es Salaam ambazo zimeshiriki ligi daraja la nne, tatu na sasa zimegota kwenye ligi daraja la pili.

 

10 years ago

Vijimambo

WENGI WASHIRIKI KWENYE MASHIZI YA MKE WA JOHN KITIME KWENYE MAKABURI YA KINONDONI,JIJINI DAR LEO

 Umati wa waombolezaji ulioshiriki kwenye mazishi ya Mke wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,Bw. John Kitime,Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime alizikwa leo kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam.Taratibu za mazishi zikiendelea kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam leo. Mume wa  Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime,Bw. John Kitime akitoka kuweka shada la maua kwenye kaburi la mkewe wakati wa mazishi yaliyofanyika jioni hii kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es...

 

10 years ago

Habarileo

Bomu laua watu 3 kwenye basi

WATU watatu wamekufa na wengine sita kujeruhiwa na bomu la kurusha kwa mkono lililotupwa kwenye gari la abiria na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wilayani Buhigwe, katika Mkoa wa Kigoma.

 

10 years ago

Habarileo

Alipukiwa na bomu kwenye gari, afa

KIJANA Juma Rashid anayesadikiwa kuwa na umri kati ya 21 na 23 amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kilicholipuka ndani ya gari na kumkata kiganja cha mkono, mguu na tumbo, huku watu wengine watatu waliokuwa ndani ya gari hilo nao wakijeruhiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Bomu larushwa kwenye mgahawa Arusha, wanane wajeruhiwa

>Watu nane wamejeruhiwa, mmoja kati yao vibaya baada ya watu wasiofahamika kurusha bomu katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine uliopo karibu na Mahakama Kuu jijini Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani