WENGI WASHIRIKI KWENYE MASHIZI YA MKE WA JOHN KITIME KWENYE MAKABURI YA KINONDONI,JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s72-c/FILE0057.jpg)
Umati wa waombolezaji ulioshiriki kwenye mazishi ya Mke wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,Bw. John Kitime,Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime alizikwa leo kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam.
Taratibu za mazishi zikiendelea kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam leo.
Mume wa Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime,Bw. John Kitime akitoka kuweka shada la maua kwenye kaburi la mkewe wakati wa mazishi yaliyofanyika jioni hii kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s72-c/FILE0057.jpg)
mamia washiriki mazishi ya mke wa john kitime kwenye makaburi ya kinondoni,jijini dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s1600/FILE0057.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ze2nRfJZsdA/VOH125Q8g0I/AAAAAAAHD_U/Av26QS6-Itc/s1600/FILE0059.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oE9BMpLnV1A/VOH18209QUI/AAAAAAAHD_w/WeYpnvtV8ks/s1600/IMG_20150216_153949.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7Ncw1UE9CfhLubsaRzOcOBGDRYHAIPzBSjzDepHwD8YREH4dvUxqlfLWm79qtv5QR0XzXjUcKMip*VwjaM2LeCo/KITIME8.jpg?width=600)
MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR
10 years ago
GPL17 Feb
11 years ago
Michuzi03 Feb
MAMIA WAMZIKA MEJA MSTAAFU SAMWEL ISAAC CHEKINGO KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
![DSC_0140](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0140.jpg)
![DSC_0143](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0143.jpg)
![DSC_0047](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0047.jpg)
![DSC_0041](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0041.jpg)
![DSC_0069](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0069.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_01331.jpg)
MAMIA WAMZIKA MEJA MSTAAFU SAMWEL ISAAC CHEKINGO KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_0001.jpg)
MZEE ARNOLD WIFRED NKHOMA APUMZISHWA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s72-c/DSC_1214.jpg)
Sheikh Ali Mzee Comorian azikwa leo kwenye Makaburi ya Wangazija,jijini Dar leo
Mamia ya watu wameshiriki katika mazishi ya Sheikh Ali Mzee Comorian yaliyofanyika leo katika makaburi ya Wangazija yaliyopo katika barabara ya Bibi Titi jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yameongozwa na Rais Mstaafu wa awamu ya pili ,Alhaj Ali Hassan Mwinyi na kusema kifo cha sheikh huyo ni mipango ya mungu kwa kila mtu safari yake ipo.
Alisema kifo cha sheikh kinatakiwa kuenziwa kwa mema aliyoyafanya katika uhai wake katika kupigania...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s1600/DSC_1214.jpg)
SHEIKH ALI MZEE COMORIAN AZIKWA LEO KWENYE MAKABURI YA WANGAZIJA, JIJINI DAR LEO