Sheikh Ali Mzee Comorian azikwa leo kwenye Makaburi ya Wangazija,jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s72-c/DSC_1214.jpg)
NA CHALILA KIBUDA ,GLOBU YA JAMII DAR
Mamia ya watu wameshiriki katika mazishi ya Sheikh Ali Mzee Comorian yaliyofanyika leo katika makaburi ya Wangazija yaliyopo katika barabara ya Bibi Titi jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yameongozwa na Rais Mstaafu wa awamu ya pili ,Alhaj Ali Hassan Mwinyi na kusema kifo cha sheikh huyo ni mipango ya mungu kwa kila mtu safari yake ipo.
Alisema kifo cha sheikh kinatakiwa kuenziwa kwa mema aliyoyafanya katika uhai wake katika kupigania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s1600/DSC_1214.jpg)
SHEIKH ALI MZEE COMORIAN AZIKWA LEO KWENYE MAKABURI YA WANGAZIJA, JIJINI DAR LEO
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Kumbukumbu ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika leo mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita itafanyika Mtaa wa Amani na Simba, Kariakoo, jijini Dar es salaam mara baada ya Swalatul Ishai Zawiyan siku ya leo Desemba 30.
Familia ya marehemu inawaalika ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo kuhudhuria shughuli hii, kumkumbuka na kumuenzi Sheikh Comorian, aliyekuwa mwanazuoni nguli na mwalimu wa wengi.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EC1UAEr-dIM/VJBKwgfYivI/AAAAAAAG3ks/Ze23myJM5jY/s72-c/DSC_0807.jpg)
Marehemu Shem Ibrahim Kalenga azikwa leo kwenye Makaburi ya Kisutu,jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-EC1UAEr-dIM/VJBKwgfYivI/AAAAAAAG3ks/Ze23myJM5jY/s1600/DSC_0807.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4en3c49ZkE/VJBKw7Nl4bI/AAAAAAAG3ko/3qX7ztnCsvw/s1600/DSC_0831.jpg)
Picha zaidi bofya hapa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s72-c/IMG-20150429-WA0077.jpg)
Brigedia Jenerali (Mstaafu) Hashim Mbita azikwa leo kwenye makaburi ya Kisutu, jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s1600/IMG-20150429-WA0077.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-H96lbLPGk/VUENkQVNjNI/AAAAAAAHUJo/Wp9n2hgCN48/s1600/IMG-20150429-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ns5Zr-3mjbk/VUENj3WUZkI/AAAAAAAHUJk/I214oXTNxks/s1600/IMG-20150429-WA0076.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9Qe7BqKa1r8/VoJ_-ynHLbI/AAAAAAAIPMk/Q83rcFvfP30/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika kesho mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-9Qe7BqKa1r8/VoJ_-ynHLbI/AAAAAAAIPMk/Q83rcFvfP30/s320/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S7O4nB7IPno/VJ_kIN7Zz6I/AAAAAAAG6HU/9PNz9yB05Xc/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Tanzia: Sheikh Ali Mzee Comorian afariki dunia mchana huu, kuzikwa kesho saa nne asubuhi
![](http://3.bp.blogspot.com/-S7O4nB7IPno/VJ_kIN7Zz6I/AAAAAAAG6HU/9PNz9yB05Xc/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mwenyezi Mungu ampe Kauli Thabit Imetolewa na:Abdulrahman S. I....
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s72-c/FILE0057.jpg)
WENGI WASHIRIKI KWENYE MASHIZI YA MKE WA JOHN KITIME KWENYE MAKABURI YA KINONDONI,JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s1600/FILE0057.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ze2nRfJZsdA/VOH125Q8g0I/AAAAAAAHD_U/Av26QS6-Itc/s1600/FILE0059.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oE9BMpLnV1A/VOH18209QUI/AAAAAAAHD_w/WeYpnvtV8ks/s1600/IMG_20150216_153949.jpg)
10 years ago
GPLAMIGOLAS AZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7Cn9ebi4iYw/U5XUqFJIFyI/AAAAAAAFpLM/CEwN9msyvP0/s72-c/16.jpg)
RAIS KIKWETE AWAONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MAREHEMU MZEE SAID NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Cn9ebi4iYw/U5XUqFJIFyI/AAAAAAAFpLM/CEwN9msyvP0/s1600/16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVXjmxkPmM/U5XUplUezCI/AAAAAAAFpLI/rz-rCnDTMfU/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UjNnWqonmuI/U5XWQy_pcAI/AAAAAAAFpP4/-ElXwHuRzVk/s1600/_5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwrGe28cIOU/U5XWQZ_LE-I/AAAAAAAFpPw/1rkRJa3Ip8s/s1600/_4.jpg)