Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWIMBA INJILI ALIPUKIWA NA BOMU AKIWA DUKANI

Na Makongoro Oging’
Mwimba Injili, Victor Mwailenge (29) ambaye ni mkazi wa Mtaa wa Migombani,Tunduma, Wilaya ya Momba mkoani Mbeya, Machi 17, mwaka huu anadai kukumbwa na majeraha makubwa mkononi yaliyotokana na mlipuko wa bomu lililotupwa na polisi katika vurugu baina ya askari na wananchi. Mwimba Injili, Victor Mwailenge akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa na bomu. Kijana huyo aliliambia Uwazi juzi katika mahojiano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWIMBA INJILI ATEKWA AKISAMBAZA ALBAMU YAKE

Na Mwandishi Wetu/Uwazi
MWIMBA Injili anayekuja kwa kasi Bongo, Elizabeth Ngaiza, Jumamosi iliyopita alijikuta katika wakati mgumu kufuatia watu wasiojulikana kumuweka chini ya ulinzi kwa dakika kadhaa wakitaka awape pesa ndani ya gari aina ya Toyota Vitz (pichani juu). Mwimba Injili anayekuja kwa kasi Bongo, Elizabeth Ngaiza. Kwa mujibu wa Elizabeth mwenyewe, tukio hilo lilijiri Babarara ya Kilwa, Dar maeneo ya Mivinjeni...

 

10 years ago

GPL

MWIMBA INJILI REBBECA MALOPE ATUA DAR, KUINOGESHA SIKUKUU YA PASAKA LEO

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama akiupokea ugeni wa Mwimbaji wa Muziki wa Injili kutoka nchini Afrika Kusini, Rebbeca Malope baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar. Mwakilishi wa Msama Promotion, Nyakwesi Mujaya akimvisha skafu Mwimbaji wa Muziki wa Injili kutoka nchini Afrika Kusini, Rebbeca Malope mara alipotua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

 

10 years ago

Mwananchi

Alipukiwa na bomu akishambulia polisi

>Mtu mmoja mwanaume ambaye jina lake halikufahamika mara moja, amefariki dunia baada ya kulipukiwa na bomu wakati akijaribu kuwarushia polisi waliokuwa doria wakati wa Sikukuu ya Krismasi katika Kata ya Majengo, mjini hapa

 

10 years ago

Habarileo

Alipukiwa na bomu kwenye gari, afa

KIJANA Juma Rashid anayesadikiwa kuwa na umri kati ya 21 na 23 amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kilicholipuka ndani ya gari na kumkata kiganja cha mkono, mguu na tumbo, huku watu wengine watatu waliokuwa ndani ya gari hilo nao wakijeruhiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News…DED Iramba alipukiwa na bomu kitandani

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Iramba , Halima Hanjali Peter (47) anusurika kuawa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu la kutengenezwa kienyeji.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Halima Hanjalli Peter (47), amenusurika kifo kwa kitu kinachodhaniwa kuwa bomu kulipukia kitandani...

 

11 years ago

Habarileo

Alipukiwa na mafuta ya petroli na kufa

WATU watatu wamekufa wilayani Tarime katika mazingira tofauti akiwemo anayeuza mafuta ya petroli kwa vidumu.

 

10 years ago

Michuzi

Alipukiwa na Bobu alipotana kuwadhulu Polisi Mkoani Ruvuma

Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake na anakotoka amefariki dunia baada ya kulipukiwa na bomu huku utumbo wake ukiwa nje na mkono wake kukatika alilotaka kuwarushia askari polisi waliokuwa doria usiku wa kuamkia leo na kujeruhi askari polisi wawili ambao hali zao zinaendelea vizuri.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bw. Said Mwambungu ameiambia ITV kwa njia ya simu kuwa watu wa nne waliokuwa na mtu huyo wamekimbia huku polisi wakikamata simu za watu hao pamoja na ya marehemu huyo na kwamba hili ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw

MOJA  ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua,  kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy

Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari  wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”

Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema  aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani