MWIMBA INJILI ALIPUKIWA NA BOMU AKIWA DUKANI
![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6-49uZWHiucuyYKegJgOGau01oTB*MAieZjMvPJnE53iBhfYbbIVmp6CETJWgmRHEo01k1SjlZ6dZrUOw5N6sGj/Bomu.jpg?width=650)
Na Makongoro Oging’ Mwimba Injili, Victor Mwailenge (29) ambaye ni mkazi wa Mtaa wa Migombani,Tunduma, Wilaya ya Momba mkoani Mbeya, Machi 17, mwaka huu anadai kukumbwa na majeraha makubwa mkononi yaliyotokana na mlipuko wa bomu lililotupwa na polisi katika vurugu baina ya askari na wananchi. Mwimba Injili, Victor Mwailenge akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa na bomu. Kijana huyo aliliambia Uwazi juzi katika mahojiano...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9kLC-MlEaDNtCdtSqssW70M8GTGtKZ2zFRExZNAMRiT6SU*KqPPp5Nr4pzf73I1o9tqL8DAXHRAj9Ph8o7yjIoK/Ngaiza.jpg)
MWIMBA INJILI ATEKWA AKISAMBAZA ALBAMU YAKE
10 years ago
GPLMWIMBA INJILI REBBECA MALOPE ATUA DAR, KUINOGESHA SIKUKUU YA PASAKA LEO
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Alipukiwa na bomu akishambulia polisi
10 years ago
Habarileo03 Nov
Alipukiwa na bomu kwenye gari, afa
KIJANA Juma Rashid anayesadikiwa kuwa na umri kati ya 21 na 23 amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kilicholipuka ndani ya gari na kumkata kiganja cha mkono, mguu na tumbo, huku watu wengine watatu waliokuwa ndani ya gari hilo nao wakijeruhiwa.
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Breaking News…DED Iramba alipukiwa na bomu kitandani
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Iramba , Halima Hanjali Peter (47) anusurika kuawa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu la kutengenezwa kienyeji.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Halima Hanjalli Peter (47), amenusurika kifo kwa kitu kinachodhaniwa kuwa bomu kulipukia kitandani...
11 years ago
Habarileo26 Mar
Alipukiwa na mafuta ya petroli na kufa
WATU watatu wamekufa wilayani Tarime katika mazingira tofauti akiwemo anayeuza mafuta ya petroli kwa vidumu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vTq3P53RFFE/VJ2GBRH8b_I/AAAAAAAG57Q/UbZT0ElAWM8/s72-c/grenade.jpg)
Alipukiwa na Bobu alipotana kuwadhulu Polisi Mkoani Ruvuma
![](http://1.bp.blogspot.com/-vTq3P53RFFE/VJ2GBRH8b_I/AAAAAAAG57Q/UbZT0ElAWM8/s1600/grenade.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bw. Said Mwambungu ameiambia ITV kwa njia ya simu kuwa watu wa nne waliokuwa na mtu huyo wamekimbia huku polisi wakikamata simu za watu hao pamoja na ya marehemu huyo na kwamba hili ni...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy
Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”
Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...