Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWIMBA INJILI ATEKWA AKISAMBAZA ALBAMU YAKE

Na Mwandishi Wetu/Uwazi
MWIMBA Injili anayekuja kwa kasi Bongo, Elizabeth Ngaiza, Jumamosi iliyopita alijikuta katika wakati mgumu kufuatia watu wasiojulikana kumuweka chini ya ulinzi kwa dakika kadhaa wakitaka awape pesa ndani ya gari aina ya Toyota Vitz (pichani juu). Mwimba Injili anayekuja kwa kasi Bongo, Elizabeth Ngaiza. Kwa mujibu wa Elizabeth mwenyewe, tukio hilo lilijiri Babarara ya Kilwa, Dar maeneo ya Mivinjeni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MSANII WA NYIMBO ZA INJILI, MKOANI IRINGA REHEMA CHAWE AACHIA ALBAMU YAKE YA GOSPEL

Muimbaji wa Nyimbo za Injili Rehema Chawe
MSANII wa nyimbo za Injili, nyanda za juu kusini Rehema Chawe ambaye ni Mwanachama wa chama cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA), anatarajia kuzindua albamu yake ya kwanza, inayoitwa Kusamehe ni afya.

Uzinduzi huo unatarajia kufanyika Jumapili, March 8, mwaka katika kanisa la EAGT, Frelimo kwa mchungaji Mwenda, ambaye ni Mwenyekiti wa makanisa ya Kipentekoste mkoani Iringa.


Akizungumza na wanahabari, Chawe alisema uzinduzi huo utapambwa na waimbaji...

 

10 years ago

GPL

MWIMBA INJILI ALIPUKIWA NA BOMU AKIWA DUKANI

Na Makongoro Oging’
Mwimba Injili, Victor Mwailenge (29) ambaye ni mkazi wa Mtaa wa Migombani,Tunduma, Wilaya ya Momba mkoani Mbeya, Machi 17, mwaka huu anadai kukumbwa na majeraha makubwa mkononi yaliyotokana na mlipuko wa bomu lililotupwa na polisi katika vurugu baina ya askari na wananchi. Mwimba Injili, Victor Mwailenge akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa na bomu. Kijana huyo aliliambia Uwazi juzi katika mahojiano...

 

10 years ago

GPL

MWIMBA INJILI REBBECA MALOPE ATUA DAR, KUINOGESHA SIKUKUU YA PASAKA LEO

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama akiupokea ugeni wa Mwimbaji wa Muziki wa Injili kutoka nchini Afrika Kusini, Rebbeca Malope baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar. Mwakilishi wa Msama Promotion, Nyakwesi Mujaya akimvisha skafu Mwimbaji wa Muziki wa Injili kutoka nchini Afrika Kusini, Rebbeca Malope mara alipotua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

 

10 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Albamu ya injili Dallas, Texas, Marekani

Karibu katika uzinduzi wa Albamu ya injili kesho ktk kanisa la Umoja la Dallas, Texas, Marekani.Mtumishi wa Mungu kaka Morris Swai ambae ni mtoto wa mchungaji Ragate Swai wa Kinondoni Assemblies (TZ)atazindua Albamu yake ya kwanza.Morriss anaishi Houston Texas kwa sasa.Karibuni wote bila kukosa. Ps.Absalom-Umoja Church.

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI

 Mkuu wa wilaya ya Makete mhe. Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.  Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuiza mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa Wilaya ya Makete azindua albamu ya nyimbo ya Injili wilayani hapo

DSC_0166

Mkuu wa wilaya ya Makete mh Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.Picha na Edwin Moshi, Makete.

DSC_0132

 Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuisha mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.

DSC_0134

Happy Kamili akiwajibika na wimbo wake mahiri wa Mpango wa Mungu.

DSC_0148

Msanii Aldo sanga ambaye albamu yake imezinduliwa akitoa burudani kwa mashabiki wake waliofika kushuhudia...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI WILAYANI HAPO

 Mkuu wa wilaya ya Makete mh Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.Picha na Edwin Moshi, Makete.  Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuisha mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Michuzi

UPENDO NKONE KUZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI YA "OMBA YESU ANASIKIA" JUMAPILI HII

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Upendo Nkone akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na uzinduzi wa Albanu ya nyimbo kumi ikiwa mpaka sasa ametimiza miaka kumi ya kuinjilisha kwa nyia ya nyimbo hapa nchini.
 ALBAMU ya OMBA YESU ANASIKIA kuzinduliwa Septemba 27 mwaka huu(Jumapili hii) katika kanisa la TAG  la upanga mkabala na chuo cha Uzumbe kwa Askofu  Mwanesongore.
 hayo yalisemwa na Mwimbaji wa nyimbo za Injili,Upendio Nkone wakati akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Michuzi

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI BONNE MWAITEGE AZINDUA ALBAMU ZAKE TATU KWA MPIGO JIJINI DAR


????????????????????????????????????Askofu na Dokta Mwakibolwa wa EAGT pamoja na maaskofu wenzake wakiombea albam hizo kabla ya kuzizindua rasmi kushoto ni Alex Msama Mkurugenzi wa Kamuni ya Msama Promotion.????????????????????????????????????Askofu na Dokta Mwakibolwa wa EAGT akizindua rasmi albam hizo kushoto Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama.????????????????????????????????????Maaskofu na wachungaji wakiwa wameshikilia albam zao mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion.
????????????????????????????????????Baadhi ya maaskofu na wachungaji waliohudhuria katika uzinduzi huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani