Alipukiwa na Bobu alipotana kuwadhulu Polisi Mkoani Ruvuma
![](http://1.bp.blogspot.com/-vTq3P53RFFE/VJ2GBRH8b_I/AAAAAAAG57Q/UbZT0ElAWM8/s72-c/grenade.jpg)
Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake na anakotoka amefariki dunia baada ya kulipukiwa na bomu huku utumbo wake ukiwa nje na mkono wake kukatika alilotaka kuwarushia askari polisi waliokuwa doria usiku wa kuamkia leo na kujeruhi askari polisi wawili ambao hali zao zinaendelea vizuri.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bw. Said Mwambungu ameiambia ITV kwa njia ya simu kuwa watu wa nne waliokuwa na mtu huyo wamekimbia huku polisi wakikamata simu za watu hao pamoja na ya marehemu huyo na kwamba hili ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Alipukiwa na bomu akishambulia polisi
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Enrrsj7QyuY/VfCAfQyfAKI/AAAAAAAD6w0/TQrt9OzKd9g/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA MKOANI RUVUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Enrrsj7QyuY/VfCAfQyfAKI/AAAAAAAD6w0/TQrt9OzKd9g/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BhjnKWHC5G0/VfCAfuVaZyI/AAAAAAAD6w4/ci3UN0rTfgg/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kU8plI_viLU/VfCAgJ0DabI/AAAAAAAD6w8/_qh96yEAqvU/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Mar
DARAJA LASOMBWA NA MAFURIKO MKOANI RUVUMA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vJQxEQ7J3KQ/VeaRriIb5NI/AAAAAAAAA0c/pGG9ZnvFN8s/s72-c/OTH_4290.jpg)
MKUTANO WA KAMPENI WA LOWASSA MKOANI RUVUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vJQxEQ7J3KQ/VeaRriIb5NI/AAAAAAAAA0c/pGG9ZnvFN8s/s640/OTH_4290.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gLOctDXV9X0/VeaRvzSZpvI/AAAAAAAAA0k/i0dSGyEhOi8/s640/OTH_4312.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VehcIn7_hNQ/VeaR5aRxiTI/AAAAAAAAA1M/7_SrQ3ZjGXA/s640/OTH_4353.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XBSHdinL5nQ/VeaR84cAU2I/AAAAAAAAA1c/YXmQmyEm4FM/s640/OTH_4355.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0OCQyQTfWDE/U8uSs3KnxeI/AAAAAAAF364/Lnh9qtxbCaA/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Wakazi wa Vijijini Mkoani Ruvuma kupatiwa umeme
![](http://1.bp.blogspot.com/-0OCQyQTfWDE/U8uSs3KnxeI/AAAAAAAF364/Lnh9qtxbCaA/s1600/unnamed+(49).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AryaiosFS1s/U8uStdEoPfI/AAAAAAAF35w/SNmYt1ujCHM/s1600/unnamed+(50).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HEJh_iX3cfU/VTs_h5LLMWI/AAAAAAAHTEs/tlgV_cX6sWw/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Mh. Makalla ziarani Wilayani Namtumbo, Mkoani Ruvuma
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe mei 12 mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba kisima kingine baada ya kisima cha awali kuwa na Maji machache.
Amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji kuunda kikosi kazi cha watalaam...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KUANZA ZIARA MKOANI RUVUMA
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FIQnX8cIJT8/VVSI6_5LtLI/AAAAAAAHXRE/eUT8YG3CzBs/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Serikali yawashauri Vijana Mkoani Ruvuma kujishughulisha na ujasiriamali
![](http://4.bp.blogspot.com/-FIQnX8cIJT8/VVSI6_5LtLI/AAAAAAAHXRE/eUT8YG3CzBs/s640/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QPsdfECr9ek/VVSI67-U5SI/AAAAAAAHXRM/FfjqzatpFcg/s640/unnamed%2B(75).jpg)
9 years ago
StarTV19 Nov
CCM yashinda kata zote tatu mkoani Ruvuma
Chama cha Mapinduzi CCM kimeshindi uchaguzi wa madiwani katika kata tatu za mkoa wa Ruvuma.
Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo ya Madaba na Namtumbo wamesema kata za Mkongo Gulioni na Lismondi washindi wote ni kutoka CCM.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Namtumbo akiongea kwa njia ya simu akitoa Matokeo amesema Jimbo la Namtumbo lilikuwa na Kata 2 zilizofanya Uchaguzi kugombea udiwani mgombea wa CCM Pandu Juma Alfani wa mkongo gulioni alimshinda mpinzani wake wa chadema Komba Dasitani...