Serikali yawashauri Vijana Mkoani Ruvuma kujishughulisha na ujasiriamali
![](http://4.bp.blogspot.com/-FIQnX8cIJT8/VVSI6_5LtLI/AAAAAAAHXRE/eUT8YG3CzBs/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Bw. Nachoa Zacharia kulia akiongea na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa Maafisa hao walipokuwa katika ziara ya mafunzo stadi za maisha,ujasiriamali na elimu ya uongozi kwa vijana wa Mkoa wa Ruvuma, kushoto kwake ni Mkuu wa Chuo cha Vijana cha Sasanda kilichopo mkoani Mbeya Bw. Laurian Masele.
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mh. Charles Mhagama akisisitiza jambo kwa maafisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAIRTEL KUWAPATIA VIJANA ZAIDI YA 500 ELIMU YA UJASIRIAMALI MKOANI ARUSHA
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
11 years ago
Mwananchi15 May
Vijana tujifunze ujasiriamali ajira hakuna
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Tayoa lazindua shindano la ujasiriamali kwa vijana
SHIRIKA la Tanzania Youth Alliance (Tayoa), kupitia mradi wa Vijanatz Microfinance kwa ufadhili wa Benki ya NBC limezindua mfululizo wa mashindano ya kutafuta na kukuza mawazo ya ujasiriamali kwa vijana...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DTWj1YVVI-I/VMUP4SfDlMI/AAAAAAAG_b8/ayiEyEm_2xo/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bibi Ester Makalili akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya hiyo kutoa mafunzo ya Ujasiriamali, Stadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-DTWj1YVVI-I/VMUP4SfDlMI/AAAAAAAG_b8/ayiEyEm_2xo/s1600/Pix%2B1.jpg)
9 years ago
MichuziBenki ya NBC yawezesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana
11 years ago
MichuziTAASISI YA NKWAMIRA KUTOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA 200
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jt3wZftXGB0/U4Iqj-ML2LI/AAAAAAAA_Zs/dYCeLXPUnzk/s1600/1.jpg)
9 years ago
MichuziVijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
Kampuni ya Airtel Tanzania, kupitia mpango wake wa “Airtel Fursa Tunakuwezesha” imewapatia mafunzo ya ujasiriamali vijana wa manispaa ya Tanga kwa lengo la kuwawezesha kuboresha uendeshaji biashara na kukuza mitaji yao katika warsha iliyofanyika katika ukumbi...