Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afa akiendesha baiskeli

WATU wawili wamefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti akiwemo mwanamume aliyetambuliwa kwa jina la  Mashaka Mkani aliyefariki dunia akiwa anaendesha baiskeli. Kamanda wa Polisi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA ARUKA KWENYE BAISKELI, AGONGWA, AFA!

Kaka wa marehemu(Sarah Joseph ), Tabu Joseph Ihuya akisimulia mkasa huo. Stori: Mashaka Kisusi, Mwanza/Ijumaa Wikienda
Majonzi! Mama mmoja mkazi wa Kijiji cha Lubuga wilayani Misungwi mkoani hapa, Sarah Joseph (22), amegongwa na lori lenye namba za usajili T 115 AVE lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Dar kisha kufa papohapo baada ya kuruka kutoka kwenye baiskeli. Tukio lilitokea hivi karibuni wilayani humo ambapo Sarah...

 

11 years ago

GPL

MAD ICE AKIENDESHA MAISHA EPIC STUDIO ZILIZOKO MIKOCHENI

Mad Ice ndani ya Studio za Epic maeneo ya Mikocheni. Muonekano wa Epic Studio kwa ndani. Mad Ice, Man Fred na Baraka wa kundi la The Core wakijadili jambo ndani ya studio.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka mitano apatikana akiendesha gari la mzazi wake Utah

Akiwa na dola 3 mfukoni mwake, mvulana huyo kutok aeneo la Utah alikuwa anaelekea California kununua gari aina ya Lamborghini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka mitano akamatwa Marekani akiendesha gari la wazazi wake

Mtoto mwenye umri wa miaka mitano amekamatwa na polisi huko Utah Marekani akiendesha gari la wazazi wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Msafara wa baiskeli Tanzania

Mamia ya waendesha baiskeli wajitokeza kwenye msafara katika barabara za Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha wananchi

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ford yazindua baiskeli ya kielektroniki

Kampuni ya kutengeza magari ya Ford imezindua baiskeli ya kutumia umeme

 

10 years ago

BBCSwahili

Froome ashinda mashindano baiskeli

Mshindi wa mashindano ya baiskeli yajulikanayo kama Tour de France ,Chris Froome ameshinda mashindano ya baiskeli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani