Msafara wa baiskeli Tanzania
Mamia ya waendesha baiskeli wajitokeza kwenye msafara katika barabara za Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha wananchi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Yaliyojiri kwenye msafara wa waendesha Baiskeli kutoka Mbeya kwenda jijini Dar
Rais wa Chama cha Waendesha Baiskeli Tanzania, Godfrey Jacks Muhagama, ambaye pia ni miongoni mwa waendesha baiskeli kwenye msafara huo ulioanzia Mbeya akitoa maelezo ya namna shughuli hiyo ilivyofanikiwa.
Mwakilishi wa Norwegian Church Aid nchini Tanzania, Tale Hungnes akiwapongeza waendesha baiskeli mara baada ya kufika Dar es Salaam wakitokea kwenye mpaka wa Malawi na Tanzania, Kasumulo Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dr. Rashid Rutengwe akisaini madai ya haki ili kuweka imani...
10 years ago
MichuziMSAFARA WA KINANA WASAFIRI KWA BAISKELI MILIMA YA USAMBARA KWENDA MKINGA,TANGA
9 years ago
MichuziYALIYOJIRI KWENYE MSAFARA WA WAENDESHA BAISKELI KUTOKA MBEYA KWENDA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-42BzMvS7rEc/VJBAseV7nlI/AAAAAAAG3kU/Jr085C1rjkY/s72-c/1.jpg)
MSAFARA WA KIGAMBONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-42BzMvS7rEc/VJBAseV7nlI/AAAAAAAG3kU/Jr085C1rjkY/s1600/1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Afa akiendesha baiskeli
WATU wawili wamefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti akiwemo mwanamume aliyetambuliwa kwa jina la Mashaka Mkani aliyefariki dunia akiwa anaendesha baiskeli. Kamanda wa Polisi wa...
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Msafara wa Lowassa wapigwa mabomu
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Msafara wa jeshi washambuliwa Mali
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Lori lavamia msafara wa Magufuli
Na Bakari Kimwanga, Maswa
MSAFARA wa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, umenusurika kupata ajali, baada ya lori la mizigo kuuvamia na kugonga magari matatu likiwamo lililokuwa limembeba mpiga debe wa chama hicho, Amon Mpanju.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi katika eneo la Njia Panda jirani kilomita chache kabla ya kuingia Maswa mjini.
Akizungumza na MTANZANIA , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Gemin Mushi alikiri kutokea kwa tukio hilo.
Alisema wakati...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Polisi yazuia msafara wa Lowassa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10