MSAFARA WA KIGAMBONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-42BzMvS7rEc/VJBAseV7nlI/AAAAAAAG3kU/Jr085C1rjkY/s72-c/1.jpg)
Foleni ya magari kuelekea Kigamboni ikiwa imechanganya jioni ya leo kama ionekavyo pichani mara baada ya kunaswa na Camera ya Globu ya Jamii .
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
10 years ago
MichuziMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua Kiota kipya Mji Mwema Kigamboni
10 years ago
VijimamboMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua kipya Mji Mwema Kigamboni cha Fursat Dhahabiyya.
10 years ago
GPLMV KIGAMBONI LAPOTEZA MWELEKEO UPANDE WA KIGAMBONI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sb64dLsWtNo/U0JovL2skDI/AAAAAAAFZKM/rLc60I--JK8/s72-c/MMG29909.jpg)
MBUNGE WA KIGAMBONI ATEMBELEA KITUO CHA AFYA KIGAMBONI KUANGALIA MAENDELEO YA TIBA YA KANSA YA KIZAZI KWA KINAMAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sb64dLsWtNo/U0JovL2skDI/AAAAAAAFZKM/rLc60I--JK8/s1600/MMG29909.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iXI4ndSaUOE/U0JowILpOsI/AAAAAAAFZKU/UFAq2wBBTpw/s1600/MMG29878.jpg)
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Msafara wa baiskeli Tanzania
10 years ago
BBCSwahili22 Aug
Ukraine :Msafara wa msaada ni uvamizi
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Lori lavamia msafara wa Magufuli
Na Bakari Kimwanga, Maswa
MSAFARA wa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, umenusurika kupata ajali, baada ya lori la mizigo kuuvamia na kugonga magari matatu likiwamo lililokuwa limembeba mpiga debe wa chama hicho, Amon Mpanju.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi katika eneo la Njia Panda jirani kilomita chache kabla ya kuingia Maswa mjini.
Akizungumza na MTANZANIA , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Gemin Mushi alikiri kutokea kwa tukio hilo.
Alisema wakati...