Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukraine :Msafara wa msaada ni uvamizi

Msafara wa msaada kutoka Urusi Umeingia Ukraine bila idhini ya Kiev

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Msafara wa Urusi waelekea Kusini Ukraine

Msafara wa Msaada kutoka Urusi umeondoka kuelekea Kusini mwa Ukraine licha ya vitisho kutoka Kiev

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Urusi inapanga msafara mwengine

Waziri wa msala ya kigeni wa Urusi seri Lavrov amesema kuwa taifa lake linapanga msafara mpya wa msaada .

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine yaomba msaada wa ulinzi

RaisPoroshenko amevitaka vikosi vya umoja wa mataifa vya kulinda amani kupelekwa mashariki mwa nchi yake kukomesha vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yapeleka msaada nchini Ukraine

Urusi inasema kuwa karibu malori 300 yaliyosheheni misaada ya kibinadamu yameondoka mjini Moscow kuelekea mashariki mwa Ukrain

 

10 years ago

BBCSwahili

Uvamizi ufaransa, 12 wauawa

Watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao wamewau takriban watu 12 katika ofisi za gazeti moja la vibonzo la Charlie Hebdo nchini Ufaransa.

 

11 years ago

Michuzi

26 wakamatwa kwa uvamizi wa mashamba

Na John Gagarini, Kibaha
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.

Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani Nigeria walaani uvamizi

Chama cha upinzani nchini Nigeria, kimelaani uvamizi uliofanywa na maafisa wa usalama dhidi ya ofisi zake mjini Lagos mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Waonywa kuacha uvamizi wa migodi

Rais wa Shirikisho la Wachimba Madini Tanzania, John Bina ameagiza kufunguliwa mara moja kwa mgodi wa dhahabu wa Mattany Ikungi na kutoa onyo dhidi ya mchimbaji madini yeyote atakayekwenda kinyume na sheria zinazosimamia sekta hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi waandamana kupinga uvamizi

ZAIDI ya wavuvi 30 wa Kisiwa cha Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, wameandamana hadi kituo cha polisi cha wilaya, kulalamikia kutokuwepo ulinzi katika Ziwa Victoria, kiasi cha kutoa mwanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani