Ukraine :Msafara wa msaada ni uvamizi
Msafara wa msaada kutoka Urusi Umeingia Ukraine bila idhini ya Kiev
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Aug
Msafara wa Urusi waelekea Kusini Ukraine
Msafara wa Msaada kutoka Urusi umeondoka kuelekea Kusini mwa Ukraine licha ya vitisho kutoka Kiev
11 years ago
BBCSwahili25 Aug
Ukraine:Urusi inapanga msafara mwengine
Waziri wa msala ya kigeni wa Urusi seri Lavrov amesema kuwa taifa lake linapanga msafara mpya wa msaada .
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Ukraine yaomba msaada wa ulinzi
RaisPoroshenko amevitaka vikosi vya umoja wa mataifa vya kulinda amani kupelekwa mashariki mwa nchi yake kukomesha vita
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Urusi yapeleka msaada nchini Ukraine
Urusi inasema kuwa karibu malori 300 yaliyosheheni misaada ya kibinadamu yameondoka mjini Moscow kuelekea mashariki mwa Ukrain
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Uvamizi ufaransa, 12 wauawa
Watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao wamewau takriban watu 12 katika ofisi za gazeti moja la vibonzo la Charlie Hebdo nchini Ufaransa.
11 years ago
Michuzi29 May
26 wakamatwa kwa uvamizi wa mashamba
Na John Gagarini, Kibaha
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.
Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.
Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Upinzani Nigeria walaani uvamizi
Chama cha upinzani nchini Nigeria, kimelaani uvamizi uliofanywa na maafisa wa usalama dhidi ya ofisi zake mjini Lagos mwishoni mwa wiki.
11 years ago
Mwananchi22 Oct
Waonywa kuacha uvamizi wa migodi
Rais wa Shirikisho la Wachimba Madini Tanzania, John Bina ameagiza kufunguliwa mara moja kwa mgodi wa dhahabu wa Mattany Ikungi na kutoa onyo dhidi ya mchimbaji madini yeyote atakayekwenda kinyume na sheria zinazosimamia sekta hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Wavuvi waandamana kupinga uvamizi
ZAIDI ya wavuvi 30 wa Kisiwa cha Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, wameandamana hadi kituo cha polisi cha wilaya, kulalamikia kutokuwepo ulinzi katika Ziwa Victoria, kiasi cha kutoa mwanya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania