Uvamizi ufaransa, 12 wauawa
Watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao wamewau takriban watu 12 katika ofisi za gazeti moja la vibonzo la Charlie Hebdo nchini Ufaransa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Uvamizi katika chumba cha habari Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa
9 years ago
BBCSwahili04 Oct
12 wauawa kwenye mafuriko Ufaransa
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Wanajeshi 2 wa Ufaransa wauawa CAR
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Watu 11 wauawa katika shambulio Ufaransa
10 years ago
Vijimambo08 Jan
AKINA KIPANYA WA UFARANSA WAUAWA BAADA YA KUCHAMBULIWA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/07/150107131207_france_640x360_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/07/150107134835__80110009_025306909-1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
9 years ago
Bongo514 Nov
Watu 153 wauawa kwenye matukio ya kigaidi jijini Paris, Ufaransa
![2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193-300x194.jpg)
Ufaransa imetangaza hali ya tahadhari na kuimarisha ulinzi kwenye mipaka yake baada ya watu takriban 153 kuuawa jana usiku kwenye mashambulio ya mabomu na bunduki kwenye mji mkuu, Paris.
Takriban watu 100 waliuwa baada ya watu wenye silaha kuvamia kwenye ukumbi wa Bataclan na kuwashikilia mateka.
Watu wengi walipigwa risasi na kuuawa kwenye baa na migahawa kwenye maeneo mengine matano jijini humo. Washambuliaji wanane wanadaiwa kuwa wameuawa.
Wakazi wa Paris wameombwa kujifungia majumbani...
11 years ago
Michuzi29 May
26 wakamatwa kwa uvamizi wa mashamba
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.
Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...