Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa
Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Washukiwa Ufaransa wapora kituo
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Polisi Ufaransa watoa picha za washukiwa
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ufaransa yazuia washukiwa kurudi Rwanda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUnI7yVqxrQT8AipboQogleXA*DidApPZiQiz6OJcpVg4BBmq2m35u6xEqhD2EiwiFaW6jEKEXnp1VQx*DPF8wOB/1.jpg?width=750)
POLISI UFARANSA YAUA WASHUKIWA SHAMBULIZI LA CHARLIE
10 years ago
StarTV08 Jan
Washukiwa Ufaransa wapora kituo cha mafuta.
Washukiwa wa mauaji ya wachora vibonzo nchini Ufaransa, wanadaiwa kufanya wizi katika kituo cha mafuta Kaskazini mwa Ufaransa huku wakiwa mbioni kutorotoka polisi.
Inaarifiwa washukiwa hao wawili ambao ni mandugu, waliiba chakula na petroli huku wakifyatua risasi karibu na eneo la Villers-Cotterets.
Watu nchini ufaransa wamesimama kimya kwa dakika moja kwa heshima ya watu 12 waliouawa na watu wenye silaha walipovamia gazeti moja la vichekesho la Charlie Hebdo siku ya Jumatano
Huku polisi...
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mpeketoni:Washukiwa 5 wauawa
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Washukiwa wa bomu bandia ndege ya Air France wakamatwa Ufaransa
Watuthumiwa hao (kushoto) baada ya kukamatwa.
MAOFISA wa Polisi nchini Ufaransa wamewatia mbaroni abiria wawili wa ndege hiyo ambao ni mke na mme liokuwa abiria katika ndege ya Air France Boeing 777 nambari AF463 iliyolazimika kutua kwa dharura nchini Kenya hapo jana kufuatia tishio la bomu.
Duru zinasema kuwa wawili hao ambao majina yao bado hayawekwa hadharani walikamatwa punde baada ya kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Charles de Gaulle nchini Ufaransa.
Waliokamatwa ni ofisa mmoja...
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa