Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji
Uganda inasema imekamata watu kadhaa kuhusiana na mauaji ya mwendesha mashtaka Joan Kagezi yaliyotokea wiki iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa
Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa
Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mahakama ya mauaji ya Rwanda yafunga washukiwa
Mahakama Maalum ya Kimataifa ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda imetoa hukumu yake ya mwisho, miaka 20 baada ya kuanza kazi na kuwapata na hatia watuhumiwa sita.
10 years ago
BBCSwahili01 May
Raia wapinga mauaji ya washukiwa Garissa
Wakaazi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamevishtumu vikosi vya usalama kwa kuwaua washukiwa wa ugaidi.
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Saudia yawakamata wanachama 430 wa IS
Mamlaka nchini Saudi Arabia inasema kuwa imewakamata zaidi ya washukiwa 430 wa kundi la Islamic State wakati wa msako wake.
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Israel yawakamata 7 waliochoma Wapalestina
Polisi wa Israeli wamewakamata watu 7 wanaoshukiwa kuchoma nyumba ya mpalestina katika ukingo wa magharibi na kuua mototo.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Vatican yawakamata wawili kwa kuvujisha siri
Vatican imesema watu wawili imewakamata watu wawili mmoja akiwa kasisi wa kanisa hilo na mwingine mfanyakazi wa zamani wa makao ya papa kwa tuhuma kuvujisha nyaraka siri za kanisa hilo.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba
Video iliyochapishwa kwenye mtandao wa Instagram haiambatani na ‘maadili ya Kiislam’.
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Saudi Arabia yawakamata wanawafalme watatu wakuu kutoka familia hiyo
Hatua hiyo inaonesha kuthibitisha kukamatwa kwa makumi ya wanawafalme kama ilivyoagizwa na mwanamfalme Mohammed bin Salman mwaka 2017.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania