Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji

Uganda inasema imekamata watu kadhaa kuhusiana na mauaji ya mwendesha mashtaka Joan Kagezi yaliyotokea wiki iliyopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa

Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa

Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama ya mauaji ya Rwanda yafunga washukiwa

Mahakama Maalum ya Kimataifa ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda imetoa hukumu yake ya mwisho, miaka 20 baada ya kuanza kazi na kuwapata na hatia watuhumiwa sita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wapinga mauaji ya washukiwa Garissa

Wakaazi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamevishtumu vikosi vya usalama kwa kuwaua washukiwa wa ugaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yawakamata wanachama 430 wa IS

Mamlaka nchini Saudi Arabia inasema kuwa imewakamata zaidi ya washukiwa 430 wa kundi la Islamic State wakati wa msako wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel yawakamata 7 waliochoma Wapalestina

Polisi wa Israeli wamewakamata watu 7 wanaoshukiwa kuchoma nyumba ya mpalestina katika ukingo wa magharibi na kuua mototo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vatican yawakamata wawili kwa kuvujisha siri

Vatican imesema watu wawili imewakamata watu wawili mmoja akiwa kasisi wa kanisa hilo na mwingine mfanyakazi wa zamani wa makao ya papa kwa tuhuma kuvujisha nyaraka siri za kanisa hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba

Video iliyochapishwa kwenye mtandao wa Instagram haiambatani na ‘maadili ya Kiislam’.

 

5 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yawakamata wanawafalme watatu wakuu kutoka familia hiyo

Hatua hiyo inaonesha kuthibitisha kukamatwa kwa makumi ya wanawafalme kama ilivyoagizwa na mwanamfalme Mohammed bin Salman mwaka 2017.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani