Mahakama ya mauaji ya Rwanda yafunga washukiwa
Mahakama Maalum ya Kimataifa ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda imetoa hukumu yake ya mwisho, miaka 20 baada ya kuanza kazi na kuwapata na hatia watuhumiwa sita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mahakama ya mauaji ya kimbari Rwanda yafungwa
Mahakama ya kimataifa iliyoundwa kuchunguza mauaji ya kimbari nchini Rwanda ya mwaka wa 1994 {ICTR} imefunga shughuli zake mjini Arusha Tanzania.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) leo imetoa msaada wa Kompyuta 22, Monitor 154 na Printers 66 kwa mashule, vyuo, vituo vya afya, mashirika yasiyo ya serikali na taasisi zakidini na kijamii pamoja na idara za serikali katika jitihada zake za kusaidia jumuiya ya Kitanzania ambayo imeweza kuilea mahakama hiyo nchini kwa miaka karibu 20 sasa.
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...
10 years ago
Michuzi
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha

10 years ago
Dewji Blog08 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda ICTR Jijini Arusha





Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitazama baadhi ya picha za kumbukumbu...
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ufaransa yazuia washukiwa kurudi Rwanda
Mahakama nchini Ufaransa, imezuia mipango ya kuwarejesha nyumbani washukiwa 3 wa mauaji ya halaiki nchini Rwanda mwaka 1994, kuhukumiwa mjini Kigali.
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa
Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji
Uganda inasema imekamata watu kadhaa kuhusiana na mauaji ya mwendesha mashtaka Joan Kagezi yaliyotokea wiki iliyopita.
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa
Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.
10 years ago
BBCSwahili01 May
Raia wapinga mauaji ya washukiwa Garissa
Wakaazi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamevishtumu vikosi vya usalama kwa kuwaua washukiwa wa ugaidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania