Saudia yawakamata wanachama 430 wa IS
Mamlaka nchini Saudi Arabia inasema kuwa imewakamata zaidi ya washukiwa 430 wa kundi la Islamic State wakati wa msako wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Wanafunzi 430 hawajui kusoma wala kuandika
10 years ago
BBCSwahili25 May
Wimbi la Joto lawaua watu 430 India
10 years ago
StarTV26 May
Wimbi la Joto lawaua watu 430 India
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/25/150525120533_india_heat_640x360_ap_nocredit.jpg)
Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.
Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.
Watafiti wamesajili kiwango cha juu mno cha nyuzijoto 48’C katika maeneo mengi nchini humo.
Vifo vingi zaidi vimeripotiwa katika majimbo ya kusini ya Telangana na Andhra Pradesh, ambapo watu 140 wamepoteza maisha yao kuanzia jumamosi wimbi hilo la joto lilipotokea.
Mji wa Allahabad ulioko Uttar Pradesh ulisajili vipimo vya nyuzijoto 48C...
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Israel yawakamata 7 waliochoma Wapalestina
5 years ago
BBCSwahili26 May
Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Vatican yawakamata wawili kwa kuvujisha siri
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LENNAkql3X8/VfPbooP3llI/AAAAAAAADkw/STkvXrM_Smk/s72-c/1.jpg)
SHERIA YA MTANDAO, TCRA YAWAKAMATA HAWA, SOMA MAKOSA YAO HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENNAkql3X8/VfPbooP3llI/AAAAAAAADkw/STkvXrM_Smk/s640/1.jpg)
Maxmillian Rafael Msacky (wapili kushoto) na Patrick James Natala (wa tatu kulia) wakiwa mahakama ya kisutu jana Ijumaa.Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10 yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao kwa kutumia majina ya Taasisi, viongozi na wanasiasa.Akiwasomea hati ya mashtaka jana Wakili wa Serikali, Theophil Mutakyawa akishirikiana na Wakili Mwandamizi Mkuu wa...
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Saudi Arabia yawakamata wanawafalme watatu wakuu kutoka familia hiyo