Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saudia yawakamata wanachama 430 wa IS

Mamlaka nchini Saudi Arabia inasema kuwa imewakamata zaidi ya washukiwa 430 wa kundi la Islamic State wakati wa msako wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 430 hawajui kusoma wala kuandika

>Imebainika kuwa wanafunzi 427, hawajui kusoma, kuhesabu wala kuandika katika shule mbili za msingi wilayani Rorya, mkoani Mara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wimbi la Joto lawaua watu 430 India

Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linachoshudiwa nchini India.

 

10 years ago

StarTV

Wimbi la Joto lawaua watu 430 India


Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.

Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.

Watafiti wamesajili kiwango cha juu mno cha nyuzijoto 48’C katika maeneo mengi nchini humo.

Vifo vingi zaidi vimeripotiwa katika majimbo ya kusini ya Telangana na Andhra Pradesh, ambapo watu 140 wamepoteza maisha yao kuanzia jumamosi wimbi hilo la joto lilipotokea.

Mji wa Allahabad ulioko Uttar Pradesh ulisajili vipimo vya nyuzijoto 48C...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji

Uganda inasema imekamata watu kadhaa kuhusiana na mauaji ya mwendesha mashtaka Joan Kagezi yaliyotokea wiki iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel yawakamata 7 waliochoma Wapalestina

Polisi wa Israeli wamewakamata watu 7 wanaoshukiwa kuchoma nyumba ya mpalestina katika ukingo wa magharibi na kuua mototo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba

Video iliyochapishwa kwenye mtandao wa Instagram haiambatani na ‘maadili ya Kiislam’.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vatican yawakamata wawili kwa kuvujisha siri

Vatican imesema watu wawili imewakamata watu wawili mmoja akiwa kasisi wa kanisa hilo na mwingine mfanyakazi wa zamani wa makao ya papa kwa tuhuma kuvujisha nyaraka siri za kanisa hilo.

 

9 years ago

Vijimambo

SHERIA YA MTANDAO, TCRA YAWAKAMATA HAWA, SOMA MAKOSA YAO HAPA


Maxmillian Rafael Msacky (wapili kushoto) na Patrick James Natala (wa tatu kulia) wakiwa mahakama ya kisutu jana Ijumaa.Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10 yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao kwa kutumia majina ya Taasisi, viongozi na wanasiasa.Akiwasomea hati ya mashtaka jana Wakili wa Serikali, Theophil Mutakyawa akishirikiana na Wakili Mwandamizi Mkuu wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yawakamata wanawafalme watatu wakuu kutoka familia hiyo

Hatua hiyo inaonesha kuthibitisha kukamatwa kwa makumi ya wanawafalme kama ilivyoagizwa na mwanamfalme Mohammed bin Salman mwaka 2017.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani