SHERIA YA MTANDAO, TCRA YAWAKAMATA HAWA, SOMA MAKOSA YAO HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENNAkql3X8/VfPbooP3llI/AAAAAAAADkw/STkvXrM_Smk/s72-c/1.jpg)
Maxmillian Rafael Msacky (wapili kushoto) na Patrick James Natala (wa tatu kulia) wakiwa mahakama ya kisutu jana Ijumaa.Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10 yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao kwa kutumia majina ya Taasisi, viongozi na wanasiasa.Akiwasomea hati ya mashtaka jana Wakili wa Serikali, Theophil Mutakyawa akishirikiana na Wakili Mwandamizi Mkuu wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Ipitie Hotuba ya kuanza rasmi kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandao hapa nchini
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (Mb), akiongea na waandishi wa habari kuhusu kuanza kutumika rasmi kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao na ya Miamala ya Kieletroniki za mwaka 2015. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana John Mngodo
Ndugu Wandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana,
Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 May
Soma tamko la Wanachama wa Policy Forum juu ya Miswada ya Takwimu na Makosa ya Mtandao,2015
TAMKO LA WANACHAMA WA POLICY FORUM: Miswada ya Takwimu pamoja na Makosa ya Mtandao, 2015
Sisi, wanachama wa Policy Forum, Mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali, tuliokutana tarehe 29 na 30 Aprili, 2015 katika mkutano wetu wa mwaka (AGM) Dar es salaam, tumesoma na kuchambua kwa kina Miswada ya Sheria ya Takwimu pamoja na Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 kwa lengo la kujieleimisha na masuala ya katiba na uchaguzi mkuu 2015.
1. SHERIA YA TAKWIMU NA SHERIA YA MAKOSA YA...
10 years ago
Habarileo28 May
Kamati yapongeza sheria ya makosa ya mtandao
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imepongeza serikali kwa kuwasilisha muswada wa sheria ya makosa ya mtandao, huku ikisisitiza elimu kwa wananchi ili waepuke makosa yatakayowatia hatiani.
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Kz1A6yJtmvw/VRwlc3ZwFgI/AAAAAAAABYI/gCMT6A-S6uo/s72-c/cyber_law.jpg)
UCHAMBUZI WA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kz1A6yJtmvw/VRwlc3ZwFgI/AAAAAAAABYI/gCMT6A-S6uo/s1600/cyber_law.jpg)
Nitaanza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OvP*GExdpiQ7D*XCQ7s71KdLPfwqJts*J0ze7QNe2SsVyi5ME5BiBBNF0j*MbolAiFlyB50PIdpZD0wJTyBm2C/10984983_897634173633911_3040955696030526845_n.jpg?width=650)
UCHAMBUZI WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao mwisho Chumbe?
Monday, September 7, 2015 Na Muandishi wetu swahilivilla Blog Wanadiaspora wameelezea wasiwasi wao kuwa sheria mpya ya Makosa Ya Mtandao iliyoanza kufanya kazi tarehe mosi mwezi huu nchini Tanzania, huenda ikaishia Chumbe, imefahamika. Hayo yamekuja kwenye […]
The post Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao mwisho Chumbe? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sheria ya Makosa ya Mtandao yadaka ndugu watatu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXVHL5745KwFYlfLinvn*iml8DSSBWOrV44kljr4*IFVnwJfj*AIz7UwlO2lJWmH76sD0LLgiEEwd22xwpk6RiM1/Kabula.jpg)
MASTAA WANASEMAJE KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO ?