Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel yawakamata 7 waliochoma Wapalestina

Polisi wa Israeli wamewakamata watu 7 wanaoshukiwa kuchoma nyumba ya mpalestina katika ukingo wa magharibi na kuua mototo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Msako mkali kwa waliochoma kambi

>Serikali imetangaza kuanza msako wa kuwatafuta viongozi wa kisiasa na watu wengine, waliopanga na kuratibu tukio la kuchoma moto Kambi ya Watalii ya Ndarakwai wilayani Siha.

 

9 years ago

Mtanzania

Ushahidi waliochoma polisi Bunju waendelea

polisNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

SHAHIDI wa upande wa Serikali, Abdallah Mandai, katika kesi ya kuchoma Kituo cha Polisi Bunju A amedai   kwamba aliegesha gari lake kituoni hapo aliporudi akalikuta limeharibiwa vibaya.

Shahidi huyo wa sita alidai hayo jana   mbele ya Hakimu Thimos Simba wakati akitoa ushahidi wake kwa upande wa mashtaka.

Alidai aliegesha gari hilo kituoni hapo baada ya kuona barabara imezingirwa na kundi kubwa la watu wakiwamo wanafunzi, wakiandamana.

Alidai kuwa gari hilo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli waliochoma moto Mpalestina kuhukumiwa

Mahakama moja nchini Israel imewapata waisraeli wawili na hatia ya kumuua kijana wa kipalestina mwaka wa 2014.

 

9 years ago

Habarileo

Waliochoma moto vifaa vya kura mbaroni

POLISI mkoani Rukwa inawashikilia watu kumi kati ya 200 wanaodaiwa kuteketeza vifaa vyote vya kupigia kura kwa kuvichoma moto yakiwemo makasha 45 ya kuhifadhia kura, wakidai kuwa yalikuwa na kura ambazo tayari zilikuwa zimeshapigwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji

Uganda inasema imekamata watu kadhaa kuhusiana na mauaji ya mwendesha mashtaka Joan Kagezi yaliyotokea wiki iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yawakamata wanachama 430 wa IS

Mamlaka nchini Saudi Arabia inasema kuwa imewakamata zaidi ya washukiwa 430 wa kundi la Islamic State wakati wa msako wake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba

Video iliyochapishwa kwenye mtandao wa Instagram haiambatani na ‘maadili ya Kiislam’.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vatican yawakamata wawili kwa kuvujisha siri

Vatican imesema watu wawili imewakamata watu wawili mmoja akiwa kasisi wa kanisa hilo na mwingine mfanyakazi wa zamani wa makao ya papa kwa tuhuma kuvujisha nyaraka siri za kanisa hilo.

 

9 years ago

Vijimambo

SHERIA YA MTANDAO, TCRA YAWAKAMATA HAWA, SOMA MAKOSA YAO HAPA


Maxmillian Rafael Msacky (wapili kushoto) na Patrick James Natala (wa tatu kulia) wakiwa mahakama ya kisutu jana Ijumaa.Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10 yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao kwa kutumia majina ya Taasisi, viongozi na wanasiasa.Akiwasomea hati ya mashtaka jana Wakili wa Serikali, Theophil Mutakyawa akishirikiana na Wakili Mwandamizi Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani