Israel yawakamata 7 waliochoma Wapalestina
Polisi wa Israeli wamewakamata watu 7 wanaoshukiwa kuchoma nyumba ya mpalestina katika ukingo wa magharibi na kuua mototo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Msako mkali kwa waliochoma kambi
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Ushahidi waliochoma polisi Bunju waendelea
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SHAHIDI wa upande wa Serikali, Abdallah Mandai, katika kesi ya kuchoma Kituo cha Polisi Bunju A amedai kwamba aliegesha gari lake kituoni hapo aliporudi akalikuta limeharibiwa vibaya.
Shahidi huyo wa sita alidai hayo jana mbele ya Hakimu Thimos Simba wakati akitoa ushahidi wake kwa upande wa mashtaka.
Alidai aliegesha gari hilo kituoni hapo baada ya kuona barabara imezingirwa na kundi kubwa la watu wakiwamo wanafunzi, wakiandamana.
Alidai kuwa gari hilo...
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Waisraeli waliochoma moto Mpalestina kuhukumiwa
9 years ago
Habarileo27 Oct
Waliochoma moto vifaa vya kura mbaroni
POLISI mkoani Rukwa inawashikilia watu kumi kati ya 200 wanaodaiwa kuteketeza vifaa vyote vya kupigia kura kwa kuvichoma moto yakiwemo makasha 45 ya kuhifadhia kura, wakidai kuwa yalikuwa na kura ambazo tayari zilikuwa zimeshapigwa.
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Uganda yawakamata washukiwa wa Mauaji
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Saudia yawakamata wanachama 430 wa IS
5 years ago
BBCSwahili26 May
Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Vatican yawakamata wawili kwa kuvujisha siri
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LENNAkql3X8/VfPbooP3llI/AAAAAAAADkw/STkvXrM_Smk/s72-c/1.jpg)
SHERIA YA MTANDAO, TCRA YAWAKAMATA HAWA, SOMA MAKOSA YAO HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENNAkql3X8/VfPbooP3llI/AAAAAAAADkw/STkvXrM_Smk/s640/1.jpg)
Maxmillian Rafael Msacky (wapili kushoto) na Patrick James Natala (wa tatu kulia) wakiwa mahakama ya kisutu jana Ijumaa.Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10 yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao kwa kutumia majina ya Taasisi, viongozi na wanasiasa.Akiwasomea hati ya mashtaka jana Wakili wa Serikali, Theophil Mutakyawa akishirikiana na Wakili Mwandamizi Mkuu wa...