Waisraeli waliochoma moto Mpalestina kuhukumiwa
Mahakama moja nchini Israel imewapata waisraeli wawili na hatia ya kumuua kijana wa kipalestina mwaka wa 2014.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Dereva Mpalestina awagonga Waisraeli
9 years ago
Habarileo27 Oct
Waliochoma moto vifaa vya kura mbaroni
POLISI mkoani Rukwa inawashikilia watu kumi kati ya 200 wanaodaiwa kuteketeza vifaa vyote vya kupigia kura kwa kuvichoma moto yakiwemo makasha 45 ya kuhifadhia kura, wakidai kuwa yalikuwa na kura ambazo tayari zilikuwa zimeshapigwa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iJqUyq9_jrU/VRKEyGtu-UI/AAAAAAAHNFA/QIXk0XERBms/s72-c/g3.jpg)
Maalim Seif alitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kujua waliochoma moto ofisi ya CUF jimbo la Dimani
Maalim Seif amesema hayo wakati alipotembelea ofisi hizo zilizoteketezwa kabisa kwa moto, tukio lililofanywa na watu wasiojuilikana juzi usiku, huko katika eneo la Kisauni Wilaya ya Magharibi Unguja.
Katibu Mkuu wa CUF amesema tukio hilo ni la kusikitisha...
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Israel yawakamata 7 waliochoma Wapalestina
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Ushahidi waliochoma polisi Bunju waendelea
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SHAHIDI wa upande wa Serikali, Abdallah Mandai, katika kesi ya kuchoma Kituo cha Polisi Bunju A amedai kwamba aliegesha gari lake kituoni hapo aliporudi akalikuta limeharibiwa vibaya.
Shahidi huyo wa sita alidai hayo jana mbele ya Hakimu Thimos Simba wakati akitoa ushahidi wake kwa upande wa mashtaka.
Alidai aliegesha gari hilo kituoni hapo baada ya kuona barabara imezingirwa na kundi kubwa la watu wakiwamo wanafunzi, wakiandamana.
Alidai kuwa gari hilo...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Msako mkali kwa waliochoma kambi
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Wapalestina 2 wauawa na Waisraeli
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Netanyahu atahadharisha Waisraeli Waarabu